Raia Mvumilivu
Member
- Nov 28, 2011
- 20
- 3
anaulizia kazi ya meneja wa bar pale mtekenyo bar..tulishashortlist kaka..kama hukuitwa subiri wakati mwingine ..asante..Hr Manager-Mtekenyo Bar
sio tabia nzur hyo wamjbuje hvo nduguyo, .km wew ni intalectual haijakusaidia elimu yangu ulkarir 2 madesa akat kuna ht null curriculum
Mtoa mada alieleweka kwa 100% ila kwa kuwa wengi wenu humu JF huwa mnakurupuka ku reply kabla ya kufanya uchambuzi yakinifu na kutokuwa serious....kama vp mbaki kwenye jukwaa la jokes tu...Hii habari inaletewa mzaha kw kua mtoa mada ametoa vi2 nusu nusu, shortlisted ya nn?!! gest, lodge au madanguro?!
POPOBAWA.