kama huyo rafiki yako ameshazaa yaani keshawahi kupata mtoto sio mbaya akijitumbukiza kwa hilo lidady, ila kama hajazaa aachane nalo atafute kijana mwenzake ambae watakua hawajapishana miaka mingi, pia achunguze kinachowaua
hao wake zake nini, usije ukampoteza shosti wako