Should i attend this wedding

Inachosa sana, kwakweli nimehisi uchungu moyoni, it is a betrayal of the highest order!!!!!!!!!!!!!!!!!

Anyways, mimi nadhani nenda kahudhurie ndoa na harusi ya shosti kama ambavyo mchangiaji mmoja amesema hapo juu wanawake huwa tunamind sana.
Pili, mahudhurio yako yatapelekea hata siku ukiamua kumuuliza shostito kilichotokea anaweza kukueleza ukweli basi nawe utapata kuelewa, kwani hata usipoenda harusini hutapata majibu ya kilichosababisha mmoja kufa na wengine wawili kuoana.
 
Dada nenda wewe haikuhusu kitu hiyo kesi kafa kwa ushamba wake mwenyewe miaka7 GF anagoja nini ndo hilo kalipata sasa anmchakaza mtoto wa watu. loo hatahivyo kavumilia sana, jamani msimchanganye yeye ni mualikwa tu kama wengine
 

Edson we ni mwalimu? Hongera sana
 


Nimeyaona mengi lakini sijayaona haya hata mimi imenigusa sana,niliposikia huyu bwana amefariki wazo langu la kwanza nilifikiria amejinyonga kwa sababu ya kuwachwa kila mtu alijuwa huyu mtu alikuwa amekata tamaa na maisha sababu ya harusi ya mpenzi wake wa miaka saba kwa hivyo watu wengi waliowajua walimlaumu huyu dada kwa kumtesa na kumtumia huyu ndugu.Nikweli unavyosema eti wanaume wanafanya wanawake wakawa waovu kabla ya haya dada huyu alitupwa na mpenzi wake wa miaka mitano ambaye waliishi pamoja.
 


Ahsante sana kwa ushauri huu ,mama yangu mzazi pia ameniambia hivyo hivyo ya kwamba huyu ni mtu muovu na nijitege kutoka kwake kwa sababu ni mtu anaweza pia kunitenda.Mama yangu alinishauri nisiende hiyo harusi manake ni harusi ina laana kwa sababu ya uongo wa huyu msichana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…