Mimi namlaumu Makamu wa Rais Dr Shein yaani wenzie wote wanafuatilia timu kwenda kambini na kwenye mechi yeye hata kutoa salam hajawahi kutoa!
Hivi baina yake na Boss wake ni nani alie busy zaidi?
masatu.....
nafikiri dr shein yupo Uk kwa matibabu,tusilaumu ndio safari.
mie naomba kusema yafuatayo......
one.....unajua lazima tukubali kuwa kuna kosa nafikiri limefanyika kuwa sisi mafunzo yetu wa-tz tulikuwa kila kitu mambo hadharani mara leo ohh tupo ulaya etc,lkn tulikuwa hatujui nini mambaz wanafanya ninietc ktk matyarisho juu ya game hii.
two....na zaidi nahisi inawezekana bado stars walikuwa wanaona mambaz watakuwa wale wale walotoka nao draw kule msumbiji etc,lkn inaonekana jamaa wamebadilika sana na kujitayarisha vilivyo.
three.... inawezekana wachezaji wetu walikuwa na tension kubwa sana,lkn upande wa pili wenzetu walikuwa tayari kuyapokea matokeo ya iana yoyote ile KUFA KUPONA.
four....inawezekana mambaz walikuwa wanafuatilia kwa umakini sana matayarisho ya kambi ya stars etc inawezekana hata walikuwa wametuma watu wao huko ulaya kuwaangalia taifa stars walipokuwa nje kwa mechi za kirafiki,lkn upande wa pili sisi tulikuwa bizi na siasa za bongo,leo mara karamagi,kesho ZITTO,kuufungua uwanja mpya etc.labda suala rahisi tuwaulize stars jee tokea wamemaliza game na msumbiji wamewahi harta kuwaangalia tena ktk video etc?
five....tupuunguze sifa na majigambo yasokuwa na maana,mf kusema PIGA UA ushindi lazima etc,hahyo yote hayafai.tukae chini tujipangeni tena naamini mambo yatakuwa mazuri tu.
six...suala la kocha nalo ni kitendawili,kila siku timu kubadilikabadilika etc,leo si mnaona tumeenda na wachezaji fulani fulani ulaya,basi after 3wks utasikia timu imepanguliwa na wengine wameachwa na wengine wameletwa etc,hii inasikitisha sana yaani hatuna au hatuangalii mbali,kwa maana hiyo m-brazili anatakiwa apewe vijana wachanga awafunze na sio wachezaji wameshakuwa watu wazima etc.
huo ni mtazamo wangu tu washikaji,is not end of the LIFE.tukaeni chini wapi tumekosea tukjireebsiheni naamini tutafika tu mola akipenda.TUPEANE POLE SOTE.sio muda mwafaka kumlaumu EL,NK,RA,KAMATI YA STARS ISHINDE etc.
wekend njema kwa nyote jamani.