Should Tanzania condemn the killings of opposition supporters in Iran?

Si unakumbuka Mkuu alitokea kule baada ya vurumai kuisha. December, January Mkuu alikuwa kimya kama vile hakuna majambo kwa majirani.

Lakini baada ya mambo kuwa shwari, mkuu anapanda kadege kwenda kutafuta misifa.

unajua mimi naamini ni mtego kwa CCM kwa sababu hawawezi kucondemn Iran wakati wao uchaguzi wao mkuu unakuja na unaweza kuja na machafuko yake.
 
Jamani si serikali hii hii ya CCM iliyotoa kauli yake kufuatia vurugu kule Kenya baada ya Uchaguzi Mkuu na ni wao waliofunga safari (Mkapa na Kikwete) na kwenda kuleta upatanishi kule?

Na si ni serikali ya Marekani iliyokuwa inapigana vita kwa jina la demokrasia na uhuru kule Vietnam wakati baadhi wananchi wake wakiwa hawana haki na uhuru wa kutumia demokrasia hiyo hiyo waliokuwa wakiipigania huko Vietnam.....

Duniani kuna mambo humu....Lol
 
unajua mimi naamini ni mtego kwa CCM kwa sababu hawawezi kucondemn Iran wakati wao uchaguzi wao mkuu unakuja na unaweza kuja na machafuko yake.

Hapo wanakatumia kale kamsemo kao kuwa Tanzania haifungamani na upande wowote.

Kumbe ni kuangalia maslahi ya mifuko yao. Nchi lazima iwe na msimamo, na sio kutumia vi theorem vya ki changu doa, ni sawa na Mwanamke asiyefungamana na Mwanaume yeyote yule, KILA DUME NI WAKE. LOL.
 

hahahah.. mwanamke asiyefungamana na mwanamme yoyote.. hii ni kali..
 


Sio kila opposition supporte wako sawa! Hawa opposition wa Irani inaonyesha wazi ni mamluki na ignorants wenyemalengo binafsi badala ya taifa

Kitendo cha ku-demonstrate siku ya Ashura Day, wakati waumini wote wa Iran wanaomboleza vifo vya Hassan/Hussein, viongozi na chanzo cha mathehebu ya Shia,

Hii ni aibu kubwa kwao na hili kundi dogo la opposition kwa kitendohiki wamejidharaulisha kwa jamii kubwa ya wairani, kwasababu wanataka ku-distabalise security ya nchi na usalama ya waumini mahujaji
 

Guys,
Let's NOT do the dirty job of the Jews in this Forum!!!!
This is nothing more than a Jewish propaganda.
Let the Jews do it themselves!!!!
 
Guys,
Let's NOT do the dirty job of the Jews in this Forum!!!!
This is nothing more than a Jewish propaganda.
Let the Jews do it themselves!!!!

Well Mkuu, may be you are right. Muuaji ni muuaji tu whether yeye ni yahudi au mpersia. Sioni kama kupinga kukemea uuaji Iran ni kufanya kazi ya mayahudi na kukemea mauaji yanayofanywa na mayahudi ni kufanya kazi ya wasilamu au waarabu. Ni kanuni rahisi tu kuwa kama mauaji yakifanyika bila misngi ni lazima yakemewe, lakini muuaji hawezi kukemea mauji.
 


Ndio tatizo hilo; sielewi kwanini hii iwe kazi ya wayahudi kana kwamba utu wa Muirani ni tofauti na ule wa Mwafrika? HIvi tumesahau hata kauli zetu za awali kuwa "binadamu wote ni sawa". Hivyo, wapo watu hapa ambao wakiona Wayahudi wanauawa watachekelea lakini wakiona Waarabu wanauawa watalia lakini kama ni Waarabu kwa Waarabu wa Wairani kwa Wairani inakuwa vurugu wanataka iwe kimya.
 
...... Ni kanuni rahisi tu kuwa kama mauaji yakifanyika bila misngi ni lazima yakemewe,...................

Nd. Bongolander,
Mbona unatutisha????
Mauaji ni mauaji tu. Hakuna mauaji ya msingi na yale yasiokuwa ya msingi!
Inamaana haya ya ZNZ ni ya msingi na haya ya Iran yalikuwa sio ya msingi?
Jamani tuacheni kuwasaidia majahudi!
These are very cunning people. Tunawasaidia bila ya hata sisi wenyewe kujua.
Why do we want to dramatize the Iranian issue wakati sisi wenyewe ndio hayo hayo tunayafanya??? Huu jamani sio uzalendo wa kijinga????
 
...........Hivyo, wapo watu hapa ambao wakiona Wayahudi wanauawa watachekelea lakini wakiona Waarabu wanauawa watalia lakini kama ni Waarabu kwa Waarabu............wanataka iwe kimya............

Mzee Mwanakijiji,
Kwanini unazunguka sana??? Sio ungeliandika tu kuwa......
Hivyo, wapo watu hapa ambao wakiona Watanzania wanauawa watachekelea lakini wakiona Wairan wanauawa watalia lakini kama ni Watanzania kwa Watanzania............wanataka iwe kimya............
 

naomba unisaidie kidogo; mauaji yaliyofanywa na serikali ya Irani dhidi ya raia wake walioandamana katika suala la kisiasa na kutoridhishwa na serikali yao vinahusiana vipi na Wayahudi? Usiniambbie kuwa ni Wayahudi ndio walipanga maandamano hayo na ndio wanawachochea Wairan kumpinga Ahmedinajad na Khamenei?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…