Should there be communication?

mmmmh kazi ipo hapa sasa,ol in ol its not about,appearance,its about hut,true love,commitment and determination,love u all but as u knw mmoja lazima atoke kwenye mashindano haya ya bba
Hahahaha!!! We haujatulia kabisa lol!!!
 

The Following User Says Thank You to Bishanga For This Useful Post:

Maty (Today)​

Tuko pamoja mkuu
 
For this matter, if you want your present relationship to work better, please, please, please keep your distance! She/he likely to destroy your present relationship. Move on......! kama huna friend look forard for another one, na kama unaye, concentrate kujenga! Kumbuka, hawara hana talaka, ukimkalibisha mtaanza oooh tukumbukie.... you will end up hurting your loved ones!
 
vere vere true
 
hapa assumption ni kwamba ukizaa na mtu kisha msioane basi mtoto unakuwa naye wewe,what if mwanaume ana uwezo na nia ya kulea mwanae kwa nini usimpe haki hiyo wewe ukaangalia mbele na huyo mpenzi wako mpya?
Nani vipi kama mimi na pesa na mali kuliko yeye..??? Hapa tunaangalia umuhimu wa mtoto kwa biological parents..na si mambo ya mali na fedha..samahani
 
BIG NO my dear vinginevyo ukipata mpenzi kama wangu mie kila siku utakua ugomvi..
 
Si vyema kuwa na mahusiano ya kutoka outing, ila misiba unaweza ukashiriki kama Familia zenu zilikuwa zinatambua mahusiano yenu. ila lazima ujue kuwa uhusiano huu utamuumiza sana mwenzi wako wa sasa. Ila kama kweli ulimpenda unaweza kumsaidia anapokuwa na tatizo. Kama unavyo saidia wengine.
 
Kuachana na BF/GF ni kutokuelewa kwa nyie wawili
na hauvunji urafiki uliokuwepo kwa ndugu waliokuwepo
katika urafiki wenu haswa kwa ule urafiki wa muda
mrefu.
Mawasiliano panapotokea msiba, sherehe au kitu
chochote kinachoshirikisha jumuia nzima hakuna tatizo
lakini kupigiana simu za salamu usiku/ outing hapo hapana.
itaanza kukaribisha tamaa na mambo ya kukumbushiana
na mwisho ni kutokuelewana na uliyenaye


 
My pipo wat do u do?do u keep the communication alive with ur Ex/should we?mawazo yenu yanahitajika sana.:A S 103::A S 103::A S 103:


Pearl labda kama muwe marafiki wa mbali mbali but nimeona kua in most cases watu weengi ambao waliku Ex's wanapokua in a situation or area inayo waruhusu kukutana kimwili mara nyingi hushindwa huo mtihani wote katika akili zao waki justify kua ni kukumbushia tu but hakuna la zaidi - na once wakisha fanya hivyo basi the possibility ya kurudia tena ni kubwa mno... kweli its not advisable sababu kubwa ni rekindling the flame....
 
Got u bby gal,loud and clear,umenena haswaaaaaaaaaa
 
Dear kwani hakuna marafiki wengine wakuwa nao mpaka yy tu jamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…