Should there be communication?

Kwasababu ya mfumo dume....hivi urijali maana yake ni nini???
sio mfume dume bana ni maumbile ya mwanaume kutamani hata mbuzi mwenye kashepu achilia mbali ex wake, na ni maumbile ya mwanamke kushawishika na kudanganyika hata kwa ahadi hewa, weka hizo mbili pamoja plus rekodi yako na jamaa kitandani halaf unambie usalama utatokea wapi?. Punguzeni kuangalia isidingo, yapeni maisha uhalisia wake.
 
I think many people do still communicate with their exes whether they will admit it or not. Some perhaps would not like to but they just lack the will power to follow through so they end up either initiating the contact or respond to it.

Communicating with ex flames is almost always a source of conflict in couples. This then leads to lying and other shenanigans of that nature just so to avoid conflicts. Advancement in technology also plays a huge role in facilitating communication between exes without their current partners even having a slightest clue about.

Your girlfriend or boyfriend can be in constant communication with an ex without you even knowing. Has it ever dawned on you that you and your partner could both be members in this forum without even knowing about it? She has her own little boyfriend that she met in here, they communicate through PMs and all. You have your own little girlfriend that you met in here and you communicate with her through PMs and a fake email that you set up just for that purpose. If you think about it, it is just like a game. Both of y’all are just playing a game. A mind game.

Therefore, keeping in touch with an ex, in my opinion is not wise if you are romantically involved with someone else. This is just out of respect to your partner. But then again it all depends on how your partner sees it. If he or she has a major problem with it don’t do it. If he or she is agnostic about it then use your common sense.
 
Siamini nimekugongea senksi.....umesomeka!!!
 
Vigezo na Masharti kuzingatiwa....Staki maswali nimekwambia.

Ole wake nimsikie..... Rafiki mbona unapotea sana bana? mkwe wangu hajambo?

rafiki majukumu ya kumlea mkwe wako.............. natamani sana hiyo siku ya binti yako kukabidhiwa kumlea kijana wangu. I will be the best mama mkwe EVER! maana nitachukulia ananisaidia kulea
 
mmmh very true
 
rafiki majukumu ya kumlea mkwe wako.............. natamani sana hiyo siku ya binti yako kukabidhiwa kumlea kijana wangu. I will be the best mama mkwe EVER! maana nitachukulia ananisaidia kulea

Ewaa...na hapo utakuwa umepata mkwe. Matesha ni mwanamke wa haja.....nidhamu na heshima ni nyumbani kwake. Namwonea wivu mkwe wangu asee.
 
Babu hivi una undugu na yule jamaa wa kuleeeeeee aliyetoka kuapishwa?yani ukitoka kenya alafu yule jirani yetu mwengine?mbn kama na ww ni D..........?Bibi I real fil sorry 4 u
Vigezo na Masharti kuzingatiwa....Staki maswali nimekwambia.

Ole wake nimsikie..... Rafiki mbona unapotea sana bana? mkwe wangu hajambo?
 
Ewaa...na hapo utakuwa umepata mkwe. Matesha ni mwanamke wa haja.....nidhamu na heshima ni nyumbani kwake. Namwonea wivu mkwe wangu asee.

rafiki, wivu tena? acha kijana wangu akafaidi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…