Hivi mentor mimi na wewe si ni wajukuu wa babu mmoja kabisa, haya mambo inakuwaje tena!! Au wamekwiba id yako[emoji134] [emoji134] [emoji134]
mwee yale wanafanyapo na vitendo.....hizi habari ni ngumu aiseeMbona yale ma english ya kwenye tamthilia mnayaelewa...!!?
mweee kamusi ya tuki,dada ni tabu tupuJamani usiniambie hata kamusi imeomba poo[emoji134] [emoji134] [emoji134]
Sasa tutakuwa wageni wa nani sisi!!
Hebu uwe unanisaidia tufanye mazoezi ya kukizungumza angalau tuzoeane, maana kingreza kimegoma kunizoea kabisa.
Mungu atakulipa wewe kwa kutuambia wenzio tukapige kelele nje[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ila kui una kesi ya kujibu, haiwezekani sie ndugu zako kabisaa alafu ukawa unatufanyia hivyo!!
atoto uko nyuma sana, hapo tunasema "Mungu anakuona".Sio vizuri ujue[emoji24] [emoji24]
Tatizo hapa hakuna picha ndugu yangu, basi nimebaki kuwa mtazamaji tu.
Mawee kwa kiingeleza hichi hata nilewe eagle sielewi ng'ooHahaha mliponifurahisha ni mliposahau kuendelea kutoa shout outs mkabaki mnawadiskas the sororirty sistaz.
Have to say though, they took me back to the fraternity days..mine was pi lambda phi...in the east coast!!! Good old days... [HASHTAG]#brothers4ever[/HASHTAG]
Oh oh and shout out to all ladies who still kept their character despite being in sororities!!!! I know how that can change people to the negativ.
atoto uko nyuma sana, hapo tunasema "Mungu anakuona".
Hahaha sikuwahi kuona wanavyocheza. Mungu anamuona
Walai mkuu Mungu anakuona...!
hahahahaha....hahahahahahahahah
Wasukuma wangu ndo kama hivo wamekazana na kithungu watanifundisha sangapi hicho kisukuma?Pouwa atoto, kuanzia leo tuwe tunaongea kisukuma tu tukikutana.
Valentina wifi yangu ningependa nae ajiunge na sisi, halafu sijui kwa nini haongeagi kisukuma na wasukuma wake.