Ndio maana minimum kiingilio ni 20,000/- lengo ni kupata watu wachache wastaarabu.
Jay dee atafanya show yake tarehe 31 ndani ya kaukumbi kadogo ka nyumbani lounge,mimi nasema hivi kama kweli yeye ni anaconda kwa nini asingeenda diamond jubilee ama pta ama mlimani city? Ili tuamin yeye hajachuja sasa huo ukumbi hata watu buku hawafiki
Jay dee atafanya show yake tarehe 31 ndani ya kaukumbi kadogo ka nyumbani lounge,mimi nasema hivi kama kweli yeye ni anaconda kwa nini asingeenda diamond jubilee ama pta ama mlimani city? Ili tuamin yeye hajachuja sasa huo ukumbi hata watu buku hawafiki
kote kakataliwa watu hawataki kuwa katikati na mabifu na watu wengine hasa wanaowaweka mjini.
MWACHE ABANANE PALEPALE ALE JEURI YAKE.SASA NA ASIPOANGALIA ILE KESI YA MADAI ATALIPISHWA
FAINI KUBWA KIASI MPAKA HAKO KANYUMBANI LOUNGEHAKATAKUWEPO TENA.ARUDI KULIMA MIHOGO'
USHAURI KWKO JIDE JIRUDI KIBURI HAKINA MAANA YOYOTE HAPA MJINI KUNA WENYEWE,KUMBUKAULIKOTOKA ULICHOKA MFANO HAKUNA,UKATENGENEZWA ANGALAU UKAONEKANA,SI HIVYO TU YULE MKE ULIYEMPORA MUME JAPO NAE KWA SASA ANA MAISHA YAKE LAKINI BADO ANAKULILIA HAYO YOTE USIPOOMBA MSAMAHA.BASI USITEGEMEE KUFANIKIWA NA MENGINE.ANGALIA ULIPOANZIA KUJIKWAA SIO ULIPOOANGUKIA,NI USHAURI TU NA SITAKI NASAHA ZA WAPAMBE AJIBU MWENYEWE!
Jay dee atafanya show yake tarehe 31 ndani ya kaukumbi kadogo ka nyumbani lounge,mimi nasema hivi kama kweli yeye ni anaconda kwa nini asingeenda diamond jubilee ama pta ama mlimani city? Ili tuamin yeye hajachuja sasa huo ukumbi hata watu buku hawafiki
Bado haujaelewa tafauti ya wakina diamond, tid etc na jide. Wateja na washabiki wa nyumbani lounge sio waendaji wa diamond hall hata siku moja. Ukijua elegance utajua kwa niji watu fidenge wanahang in certain places.
kote kakataliwa watu hawataki kuwa katikati na mabifu na watu wengine hasa wanaowaweka mjini.
MWACHE ABANANE PALEPALE ALE JEURI YAKE.SASA NA ASIPOANGALIA ILE KESI YA MADAI ATALIPISHWA
FAINI KUBWA KIASI MPAKA HAKO KANYUMBANI LOUNGEHAKATAKUWEPO TENA.ARUDI KULIMA MIHOGO'
USHAURI KWKO JIDE JIRUDI KIBURI HAKINA MAANA YOYOTE HAPA MJINI KUNA WENYEWE,KUMBUKAULIKOTOKA ULICHOKA MFANO HAKUNA,UKATENGENEZWA ANGALAU UKAONEKANA,SI HIVYO TU YULE MKE ULIYEMPORA MUME JAPO NAE KWA SASA ANA MAISHA YAKE LAKINI BADO ANAKULILIA HAYO YOTE USIPOOMBA MSAMAHA.BASI USITEGEMEE KUFANIKIWA NA MENGINE.ANGALIA ULIPOANZIA KUJIKWAA SIO ULIPOOANGUKIA,NI USHAURI TU NA SITAKI NASAHA ZA WAPAMBE AJIBU MWENYEWE!
hahahaha! anadhani ni wale wa juma nature wanaotoka temeke kwa miguu hadi diamond alafu kiingilio kama Taifa kule shamba la bibi!!! wakifika viroba kichwani macho yanawatoka kama kuna vita!!! Wanavyocheza sasa ile mapanga shaaaaa! utakomaje!!!!!!!
anafikiri atapewa ile nyumba kule chini round about africana inayowaka taa za disco