T The Gentleman Pirate JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 1,450 Reaction score 921 Apr 23, 2014 #21 Money Stunna said: Hizo hesabu sijaona umuhimu wake katika maisha wala uzitumii maishani na zimetupotezea muda tu. Zaidi ya kujibu mtihani hazina msaada wowote Click to expand... njoo engineering wewe
Money Stunna said: Hizo hesabu sijaona umuhimu wake katika maisha wala uzitumii maishani na zimetupotezea muda tu. Zaidi ya kujibu mtihani hazina msaada wowote Click to expand... njoo engineering wewe
CHAMVIGA JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 7,687 Reaction score 2,240 Apr 24, 2014 #22 snipa said: Proof that Sin(A+B) =SinACosB+CosASinB ======>Youtube video Click to expand... Safi. Hapa kwa hali ya kawaida huwezi prove labda ukae kwenye keyboard ila hapo umemsaidia vizuri.
snipa said: Proof that Sin(A+B) =SinACosB+CosASinB ======>Youtube video Click to expand... Safi. Hapa kwa hali ya kawaida huwezi prove labda ukae kwenye keyboard ila hapo umemsaidia vizuri.
Kiranga Platinum Member Joined Jan 29, 2009 Posts 78,790 Reaction score 128,275 Apr 24, 2014 #23 Money Stunna said: Hizo hesabu sijaona umuhimu wake katika maisha wala uzitumii maishani na zimetupotezea muda tu. Zaidi ya kujibu mtihani hazina msaada wowote Click to expand... Hakuna jengo la kisasa linalojengwa bila kutumia trigonometric functions. http://en.m.wikipedia.org/wiki/Uses_of_trigonometry
Money Stunna said: Hizo hesabu sijaona umuhimu wake katika maisha wala uzitumii maishani na zimetupotezea muda tu. Zaidi ya kujibu mtihani hazina msaada wowote Click to expand... Hakuna jengo la kisasa linalojengwa bila kutumia trigonometric functions. http://en.m.wikipedia.org/wiki/Uses_of_trigonometry
Mshinga JF-Expert Member Joined Feb 5, 2013 Posts 3,532 Reaction score 1,126 Apr 24, 2014 #24 Money Stunna said: Hizo hesabu sijaona umuhimu wake katika maisha wala uzitumii maishani na zimetupotezea muda tu. Zaidi ya kujibu mtihani hazina msaada wowote Click to expand... utakuwa ulisoma uchumi, ila ungesoma engineering usingejaribu kabisa kusema kitu hiki maana ni kujiabisha
Money Stunna said: Hizo hesabu sijaona umuhimu wake katika maisha wala uzitumii maishani na zimetupotezea muda tu. Zaidi ya kujibu mtihani hazina msaada wowote Click to expand... utakuwa ulisoma uchumi, ila ungesoma engineering usingejaribu kabisa kusema kitu hiki maana ni kujiabisha