Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
...Source?
...Kodi???? :A S 39:
hapo ni kutakatisha fedha haramu,maana return kwa huyo promota itakua ni hasara almost 40m.duu,watu wana hela za mchezo.unamlipa mtu ambae nyimbo ndio zile zile na kukata mauno kule kule millioni 30?hongera zake kwa kuzichuma.
hapo ni kutakatisha fedha haramu,maana return kwa huyo promota itakua ni hasara almost 40m.
Mbona unaingilia kibaruwa cha mtu? hapa jukwaa hili kuna muwakilishi rasmi wa kupachika thread za mume wenu Diamond.source ni mimi mwenyewe,
kodi hakuna,hiyo yote ya kwake
Mbona unaingilia kibaruwa cha mtu? hapa jukwaa hili kuna muwakilishi rasmi wa kupachika thread za mume wenu Diamond.