Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
hata mie nimeviona, ni uchafu mkubwa sana lazima na joto la Dar lilivyo sasa hivi kwa uzaidi ni ananuka> ka handbag kama deodorant kuzuia ila lazima anakimbilia chooni kupangusa na maji na kuanza tena
Duh hii aibu.
mwanamke mzima kashindwa kunyoa nywele za kwapa? sasa huko kunako si ni tabu tupu.
Kunyoa ni suna yakheeeee! hizo za kikwapa zinaachwa ili kutathmini mwonekano wa maeneo mengine yenye nyele
kuku wa kienyeji hata akijipamba utamjua tu!
mwanamke mzima kashindwa kunyoa nywele za kwapa? sasa huko kunako si ni tabu tupu.
arifu unauaa kudadadeki bwahahahahaOooh nooo....Mange hakushevu kikwapa! Hebu deku vizuri utaona vinywele nywele....nasty muke ya muzungu.
Ndo raha ya JF hii, unasoma post unabaki kucheka tu
kuku wa kienyeji hata akijipamba utamjua tu!
Ila bado wema yuko juu wakuu,si unajua ile kitu haina makombo jamani!!!!!!!