SHow ya Diamond si mchezo totoz ziling'aaje??

Naona Nsia Swai shepu yake ya sasa hivi haina mvuto kabisa
Lile shepu lake la St. Augustine lilikuwa ndo magori full mpododo
 
Mwenzenu namtazamo tofauti sana kutokana na mwonekano wa hivyo viumbe(GOD 4 BID), Nijitahidi kustawisha mtazamo unaofaa nimeshindwa YAANI sijaona tofauti yao na wale ma CD wa kule oysterbei, ohio or wahaya wa tandale.
 
Mwenzenu namtazamo tofauti sana kutokana na mwonekano wa hivyo viumbe(GOD 4 BID), Nijitahidi kustawisha mtazamo unaofaa nimeshindwa YAANI sijaona tofauti yao na wale ma CD wa kule oysterbei, ohio or wahaya wa tandale. Binafsi sijaona aliependeza, ila kama kupendeza tafsiri yake ni kuweka wazi sehemu kubwa ya mwili basi kwa shingo upande naskitika kusema wamependeza otherwise me naona ndo walewale wa kinondoni makaburi na leaderz kule mtaa wa tunisia.
 
una uhakika kama muzungu kamkimbia?
au unaropoka u kwa kuwa mdomo hupigi mswaki?
wivu tu,na utakonda sana mudada ya watu inatesa mjini na DUBAI!
 
Mzuri mdomo. Miguu hovyoooo! Ka fitoo za kujengea!

JAMANI MSAADA naomba mnisaidie,kwani mpaka
wema anagombea umiss na kushinda alikuwa na makovu
hayo miguuni?jamani au mangumi na mateke na
akina dimond na kina Charles?naomba ufafanuzi,mana mtoto hakuwa ivyo!inatia huruma sana.
 
Haloo haloo mnataka kuigeuza JF ze utamuhapana kama ukutembelea blog ya ze utamu miaka ilee basi tafuta picha kwa wadau walizhifadhi lakini sio wkuweka humu .:smile-big::A S 2152::banplease:
 
Halafu Wema hiyo miguu...daaaah!

Soon itakuwa covered na cellulite na varicose veins!!! Better start eating right and hitting the gym hard girlfriend.
Yametimia mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ uliona mbali sana sasa hivi haiachi wazi
 
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜Miaka Hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…