Tissaphernes
JF-Expert Member
- Mar 27, 2018
- 2,902
- 3,560
Hahahahahah mwambie huyoAcha matusi Kakutia peke yako, sijui kakupiga vingapi
Maajabu!!!!!!Kwani alikiba hua ana show?
Mbona hujatuletea na picha ya Ali kiba mwenyewe toa uongo wako hapa
Tatizo lugha kwako haipandi haya website ya pili kutoka Uganda inaongea kitu kile kile.Mbona hujatuletea na picha ya Ali kiba mwenyewe toa uongo wako hapa
Sidhani inaweza kuwa hivyo mara nyingi waandaaji wakiona ticket hazijauzwa sana wanacancel show
Nimeripoti kutoka katika website.Hizo picha zimepigwa na hiyo website ya Uganda na website nyingine hii hapo chini imereport kile kile.Mkuu ulikuwa unakimbizwa ama sa si utulie upige picha vizur.
Uganda so nchi rahis kufanya show kwa sababu wale asilimia kubwa wanasikiliza mziki wa kwao kuliko ya mataifa mengine. Alikiba so kwamba alivofanya show watuu hawakujaa lahasha bali haikufikia kujaza ka shoo zilizopita hivyo hatutakiwi kumbeza bali kumpongeza kwa sababu bongo fleva ni mziki unaokuwa kwa kasi Afrika hatutakiwi kuwagawa wasanii wetu katika makundi hata kama wao hawana maelewano mazurii sisi tushabikie mziki mambo yao binafsi tuwaachie wenyeweNimeripoti kutoka katika website.Hizo picha zimepigwa na hiyo website ya Uganda na website nyingine hii hapo chini imereport kile kile.
Alikiba performs for more chairs than revelers in Kampala - Ugandan Buzz
Alikiba’s live in concert has been the talk of the day in Kampala till when the actual dates for the concert reached and boom….the chairs turned to be revelers for the Tanzania’s sensational singer! Just like Nigerian Mayorkun, Alikiba’s concert grabbed a record of the worst attendances in...www.ugandanbuzz.com
Mbona diamond kajaza sana alivyoenda mwezi uliopita Tena kwa kiingilio Cha juu kiingilio Cha chini kilikuwa elfu 50 wakati VIP ilikuwa mil 1 na diamond ni mtanzania?Uganda so nchi rahis kufanya show kwa sababu wale asilimia kubwa wanasikiliza mziki wa kwao kuliko ya mataifa mengine. Alikiba so kwamba alivofanya show watuu hawakujaa lahasha bali haikufikia kujaza ka shoo zilizopita hivyo hatutakiwi kumbeza bali kumpongeza kwa sababu bongo fleva ni mziki unaokuwa kwa kasi Afrika hatutakiwi kuwagawa wasanii wetu katika makundi hata kama wao hawana maelewano mazurii sisi tushabikie mziki mambo yao binafsi tuwaachie wenyewe
Diamond mziki wake ni mkubwa afrika nzima ndo maana anaweza kujaza sehemu yoyote. Lakini wasanii wengi watanzania wanapenda kufanya show kenya kuliko uganda sababu uganda bongo fleva haina funbase kubwa kuliko kenyaMbona diamond kajaza sana alivyoenda mwezi uliopita Tena kwa kiingilio Cha juu kiingilio Cha chini kilikuwa elfu 50 wakati VIP ilikuwa mil 1 na diamond ni mtanzania?
Hapo nimekupata vizuri.Diamond mziki wake ni mkubwa afrika nzima ndo maana anaweza kujaza sehemu yoyote. Lakini wasanii wengi watanzania wanapenda kufanya show kenya kuliko uganda sababu uganda bongo fleva haina funbase kubwa kuliko kenya
Anavuna alichopanda mwenzake mond kafanya show Uganda mwezi uliopita kajaza Sana na kiingilio Cha chini kilikuwa ni elfu 50 VIP ni mil 1.Ali kiba nampenda ila anachoniuzi kwake ni mvivu,ana dharau,kujisikia alafu pia hajui kujiongeza so why mziki wake hukui kwenda level za juu asipojiangalia vizuri atabaki kuwa wa hapa hapa bongo.
Mkuu mbona Alikiba ameisha muda sana? Kinachombeba hata bongo ni kulinganishwa na Diamond tu. Vinginevyo hamna tena kitu, mziki umeshamtupa mkono. |
Mkuu kuna kitu kinafikirisha sana kwenye hizo website na picha zao.Nimeripoti kutoka katika website.Hizo picha zimepigwa na hiyo website ya Uganda na website nyingine hii hapo chini imereport kile kile.
Alikiba performs for more chairs than revelers in Kampala - Ugandan Buzz
Alikiba’s live in concert has been the talk of the day in Kampala till when the actual dates for the concert reached and boom….the chairs turned to be revelers for the Tanzania’s sensational singer! Just like Nigerian Mayorkun, Alikiba’s concert grabbed a record of the worst attendances in...www.ugandanbuzz.com