Kiunoni broHapa sijui kina janjaro walikuwa wapi!
Hahahaaaaa
Duuuh kumbe wewe Dogo eeeh? ulikuwa Primary? Basi sawa.Nilikuwa primari pale songea.
Kwani 96 ni juzi?? Ni kitambo sana, miaka 21 imepita!Duuuh kumbe wewe Dogo eeeh? ulikuwa Primary? Basi sawa.
Hata kwenye korodani za baba zao hawakuwemo.Hapa sijui kina janjaro walikuwa wapi!