Hello Wakuu JF
Mie sitaki kuhangaika na kuagiza gari toka Japan nataka kununua hapo hapo dar.Niko na Choice tatu tofauti za gari nazotaka...Kuna Toyota Volts,Toyota Harrier,Toyota Kluger.
But first ni Kluger nikosa ndio ntachukua zingine.Swali langu ni kwamba dar kuna show room kibao kama utitiri na kila mwenye nayo anatoa japan.Kama kuna mwenyeji anaye jua ni show room gani wanaleta gari zilizoko kwenye hali nzuri.....zinatoka sana so siwezi pata gari zilizo kaa muda mrefu...na kama kuna ushauri mwingine regarding kununua gari Dar Es Salaam utanisaidia sana.
Regards
Buswelu
Hello Wakuu JF
Mie sitaki kuhangaika na kuagiza gari toka Japan nataka kununua hapo hapo dar.Niko na Choice tatu tofauti za gari nazotaka...Kuna Toyota Volts,Toyota Harrier,Toyota Kluger.
But first ni Kluger nikosa ndio ntachukua zingine.Swali langu ni kwamba dar kuna show room kibao kama utitiri na kila mwenye nayo anatoa japan.Kama kuna mwenyeji anaye jua ni show room gani wanaleta gari zilizoko kwenye hali nzuri.....zinatoka sana so siwezi pata gari zilizo kaa muda mrefu...na kama kuna ushauri mwingine regarding kununua gari Dar Es Salaam utanisaidia sana.
Regards
Buswelu
Nakushauri usijisumbue kununua gari kwenye Show Room za Bongo (DSM).
Nilishauriwa kama ninavyokushauri ila sikusikia,kilichonipata sitokuja kusahau.
Miaka kadhaa iliyopita nilinunua gari kwenye show room ya "MAZRUI" pale nyuma ya Break Point - Kijitonyama,nilifanya malipo yote kama tulivyokubaliana na wakaniahidi watamaliza ishu za TRA (Usajili+Kubadilisha umiliki etc) ndani ya wiki moja but ilichukua miezi mitatu mpaka nilipokuja kupata kadi ya gari,plate number etc, tena baada ya kuwapelekea samansi ya kuwaita Mahakamani.
Kwa muda huo wa miezi 3 unakuwa umeshaagiza gari from Dubai/Japan or elsewhere na inakuwa ishafika Bongo na utakuwa unaitumia.
Kipindi chote hicho nilipokuwa nasubiri niliwaomba documents za ile gari hasa za ukaguzi kule Japan (JAAI) but sikupewa kila siku walikuwa wananizungusha,nilikuja kupata hizo docoments pamoja na gari,kuzichunguza nikabaki nimeduwaa,gari ilikaguliwa Japan mwezi April 2007 ikiwa na 132,000 Kms!But wakati nafanya manunuzi kigezo kimoja wapo kilikuwa ni idadi ya Kms ilizotembea na Odometer ilikuwa inasoma 80,000 Kms !So walicheza na Odometer.
Tulifikishana kwenye vyombo vya sheria ili wanirudishie pesa yangu na wachukue gari yao but kama ujuavyo mfumo wetu wa sheria Mwanasheria anataka pesa,Hakimu anataka pesa,Karani wa Mahakama anataka pesa,Polisi anataka pesa etc etc na nikizingatia nimeshasubiri hiyo gari for 3 month nikaamua kusamehe,ki ukweli ilinigharimu sana mpaka kuweza kuiweka katika hali nzuri maana ni aibu.
So mkuu kama unataka kununua body nzuri,na muonekano just go ahead ila kama unataka kupata gari zuri na la uhakika bila longolongo nakushauri agiza.
Najua kuna wafanyabiashara wachache ni waaminifu ila wengi wao ni wasanii na wanafanya biashara za ujanja ujanja.
Nawasilisha.
Nakushauri usijisumbue kununua gari kwenye Show Room za Bongo (DSM).
Nilishauriwa kama ninavyokushauri ila sikusikia,kilichonipata sitokuja kusahau.
Miaka kadhaa iliyopita nilinunua gari kwenye show room ya "MAZRUI" pale nyuma ya Break Point - Kijitonyama,nilifanya malipo yote kama tulivyokubaliana na wakaniahidi watamaliza ishu za TRA (Usajili+Kubadilisha umiliki etc) ndani ya wiki moja but ilichukua miezi mitatu mpaka nilipokuja kupata kadi ya gari,plate number etc, tena baada ya kuwapelekea samansi ya kuwaita Mahakamani.
Kwa muda huo wa miezi 3 unakuwa umeshaagiza gari from Dubai/Japan or elsewhere na inakuwa ishafika Bongo na utakuwa unaitumia.
Kipindi chote hicho nilipokuwa nasubiri niliwaomba documents za ile gari hasa za ukaguzi kule Japan (JAAI) but sikupewa kila siku walikuwa wananizungusha,nilikuja kupata hizo docoments pamoja na gari,kuzichunguza nikabaki nimeduwaa,gari ilikaguliwa Japan mwezi April 2007 ikiwa na 132,000 Kms!But wakati nafanya manunuzi kigezo kimoja wapo kilikuwa ni idadi ya Kms ilizotembea na Odometer ilikuwa inasoma 80,000 Kms !So walicheza na Odometer.
Tulifikishana kwenye vyombo vya sheria ili wanirudishie pesa yangu na wachukue gari yao but kama ujuavyo mfumo wetu wa sheria Mwanasheria anataka pesa,Hakimu anataka pesa,Karani wa Mahakama anataka pesa,Polisi anataka pesa etc etc na nikizingatia nimeshasubiri hiyo gari for 3 month nikaamua kusamehe,ki ukweli ilinigharimu sana mpaka kuweza kuiweka katika hali nzuri maana ni aibu.
So mkuu kama unataka kununua body nzuri,na muonekano just go ahead ila kama unataka kupata gari zuri na la uhakika bila longolongo nakushauri agiza.
Najua kuna wafanyabiashara wachache ni waaminifu ila wengi wao ni wasanii na wanafanya biashara za ujanja ujanja.
Nawasilisha.
Kaka achana na Kluger bora uchuku hito voltz au RAV4
Mkuu wewe kama kweli unahitaji gari nzuri ambayo hutokuwa na wasi wasi nayo bora uwe mvumilivu iagize mwenyewe japan. kwanza kule uatachagua gari uipendaye yenye vigezo unavyopenda gari yako iwe nayo. kama rangi, odometer, na vingine vingi. usanii wa hapa bongo ni mwingi bora umvue mtu alieagiza kutoka japan kuliko uende show room. walio wengi wanachakachua magari ili yauzike kwa bei ya juu na haraka. kutoka na aina ya magari unayozungumzia inaonekana umejipanga na una budget nzuri. ukiagiza nje utasave hela nzuri tuu.