Shs 31.8217 bili za machinga na zisizojulikana za DPP hazijaonyeshwa zimeingia wapi kwenye mapato ya nchi

Shs 31.8217 bili za machinga na zisizojulikana za DPP hazijaonyeshwa zimeingia wapi kwenye mapato ya nchi

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,885
Kwenye bajeti ya mapato ya waziri wa fedha hizi fedha hazijaonyeshwa zimeingia katika fungu lipi ambazo ni shs 31,821,700,000 za vitambulisho vya machinga wapatao 1,592,085 na mabilioni ya DPP yaliyokusanywa kwa waliokiri kutakatisha fedha na kukubaliana kulipa mamilioni ya shilingi ambayo hayajawekwa wazi mpaka sasa ni kiasi gani kilipatikana.

Licha ya hayo haijaonekana imeingia kwenye vitabu gani vya serikali. Na jana eais hakusema zilienda wapi.

Naomba kujua hizi pesa ziko wapi na katima vitabu vipi
 
Kabla hujaja kuuliza maswali ya kipuuzi kama haya uwe unakuja na ushahidi,je hazikuingia kwenye mfuko mkuu wa taifa? Na kama hazikuingia tuambie zilipelekwa wapi? Na nani alizichukua?
 
Kabla hujaja kuuliza maswali ya kipuuzi kama haya uwe unakuja na ushahidi,je hazikuingia kwenye mfuko mkuu wa taifa? Na kama hazikuingia tuambie zilipelekwa wapi? Na nani alizichukua?
bwege sana wewe. mtu anauliza anataka majibu na wewe unamuuliza maswali hayohayo
 
bwege sana wewe. mtu anauliza anataka majibu na wewe unamuuliza maswali hayohayo
Bwege wewe unaemsikiliza mjinga kama huyo. Yaani pesa zinapotamkwa zimewekwa kwenye mfuko wa taifa mpaka aje onyeshwe risiti? Mbona fine za polisi haulizii kama sio uzandiki.
 
Back
Top Bottom