Mimi kwa majina naitwa Stewart simba nipo mwanza pia ni mwanachuo ktk chuo cha afya tandabui {tihest) nasomea utabibu(clinical medicine )diploma . Lengo la kuandika ujumbe huu ni kwamba nahitaji ushauri wa mawazo juu ya nini nifanye niweze kujikwamua kiuchumi na ukiangalia chuoni tunajitegemea kwa kila kitu nilihitaji mawazo yenu ndugu zanguni nni nifanye hata kma ni msaada pia nakaribisha.