Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maombi hakuna tena ?
Toka maktaba :
03 January 2022
Dodoma, Tanzania
NDUGAI AITISHA MAOMBI, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN MGENI RASMI DODOMA 29 JANUARY 2022
Spika wa Bunge la Muuungano wa Tanzania Mh.Job Ndugai alifanya mkutano na waandishi wa habari Januari 3 , 2022 katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma na kuwaalika pia waandishi wa habari wahudhurie siku hiyo maalum ya maombi 29 January 2022
pia hakuna seal (mhuli) ya bunge!Mbona haijasainia hili tangazo?
Huwenda kalazimishwa kujiuzulu 😀pia hakuna seal (mhuli) ya bunge!