Shughuli zote za Bunge zasitishwa rasmi. Kuanza rasmi tarehe 1/2/2022

Shughuli zote za Bunge zasitishwa rasmi. Kuanza rasmi tarehe 1/2/2022

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
IMG_20220107_112741.jpg
 
Maombi hakuna tena ?


Toka maktaba :

03 January 2022
Dodoma, Tanzania

NDUGAI AITISHA MAOMBI, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN MGENI RASMI DODOMA 29 JANUARY 2022



Spika wa Bunge la Muuungano wa Tanzania Mh.Job Ndugai alifanya mkutano na waandishi wa habari Januari 3 , 2022 katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma na kuwaalika pia waandishi wa habari wahudhurie siku hiyo maalum ya maombi 29 January 2022
 
Hii nchi hii.tunajijua wenyewe😁😁😁😁
 
Maombi hakuna tena ?


Toka maktaba :

03 January 2022
Dodoma, Tanzania

NDUGAI AITISHA MAOMBI, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN MGENI RASMI DODOMA 29 JANUARY 2022



Spika wa Bunge la Muuungano wa Tanzania Mh.Job Ndugai alifanya mkutano na waandishi wa habari Januari 3 , 2022 katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma na kuwaalika pia waandishi wa habari wahudhurie siku hiyo maalum ya maombi 29 January 2022

Duh!...kwani naibu wake hawezi kuongoza hii shughuli?
 
Huyu mzee mwenzangu akimaliza huu mwaka salama amshukuru sana Mungu, maana wana CCM wenzake (Kijani) wamemshambulia vilivyo namsisitiza sana awe makini tu katika mizunguko yake tusije sikia tu figo zimefeli mara ikatokea multiple organ failure then coma halafu kifo.

Namtakia kila la kheri katika mapumziko yake baada ya kuachana na muhimili ambao umekumbatiwa na nguvu ya uraisi.
 
Nchi hii shetani ndiyo anaijua kwa 100%.

Wakati bado watu wanajadili ubatili wa barua kujiuzulu ya Ndugai tayari bunge linasitisha shughuli zake.
 
Back
Top Bottom