shughuri za kitalii huathili mazingira?

kingjura

Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
14
Reaction score
0
naomba michango yenu wadau tuweze kupata hoja za kutosha juu ya namna gani hasa kuna ukweli kuhusu shughuri mbalimbali za kitalii kuathili mazingira yetu.
 
Aina yoyote ya uwepo wa binadamu ndani ya hifadhi lazima ina athari zikiwemo uchafuzi wa mazingira pamoja na usumbufu kwenye mfumo wa ki ikolojia... swala ni kiwango cha athari hizo na namna ambavyo tunasafisha au kuzipunguza.

Kumbuka viumbe pori siyo domestic na hawakuumbwa kuishi na binadamu kama ilivyo kwa mbwa au paka, uwepo wetu sisi pekee ni changamoto. Simba akimzoea binadamu au akizoea magari tayari ni badiliko kwenye tabia yake ya asili. zaidi ya hivyo kelele, moshi wa magari, kutupa chupa na mabaki ya vyakula na mambo kama hayo huongeza kiwango cha uchafuzi/usumbufu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…