Huyo Mr.... ana bahati sana!Nishakutana na Mr.............
But what happens in 'Vegas' shld stay in....
eeehAcha zako wewe!!!
Hahahah whyyHuyo Mr.... ana bahati sana!
Kwendraaaa usifanye nikakose mume mimi[emoji1]..wakati ulinikimbiaga sijawahi ona mwanaume muoga kama wwInna ni Mke wangu in reality.
Huyo mtoto nadhani kabadili ID
Ticha wangu mimi.tukutane basi hapo victoriaHahaha, kweli.
Naona anatujambisha humu.
Ticha wangu mimi.tukutane basi hapo victoria
Huenda aling'oa kitu, who knows..[emoji39][emoji39][emoji39][emoji23]Hahahah whyy
Una churaKwendraaaa usifanye nikakose mume mimi[emoji1]..wakati ulinikimbiaga sijawahi ona mwanaume muoga kama ww
Bora nikutane tu na Behaviourist.
InshaaAllahNaomba tukutane auntieeeh [emoji4][emoji4]
Ntafurahi sanaahInshaaAllah
SinaUna chura
Nikija dar nitakutafuta, ukifika dodoma utanipataSijawahi kukutana na member yeyote humu...natamani sana kukutana na hawa wafuatao tubadilishane mawazo najua yapo mengi ya kujenga ambayo ni ngumu kuyajadili humu JF "sisi ni ndugu tusiofahamiana" ; Shunie Sky Eclat Mshana Jr Bujibuji Zero IQ Ghazwat GENTAMYCINE Numbisa Mwifwa kwa uchache tu....you can find me at Upanga!!
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] nia yako n nn...
unaniwekea mipaka sana