Shuhuda za waliowahi kukutana kupitia JF

Ushuhuda wa mahondaw unasemaje mkuu.
Hivi kumbe hawa watu ni mtu na mke[emoji849][emoji849]
Safi sana mahondaw na mumeo
Thanks dear. Things started here [emoji116]

Rafiki yangu bado ananiumiza sana
Then here [emoji116]

Happy anniversary to us Smart911 & mahondaw
Then here [emoji116]

Happy 2nd anniversary my heartbeat!

Then here [emoji116]

Happy 3rd anniversary Smart911 sweetheart

Thanks God sasa majukumu yameongezeka asee naitwa mama na two years boy.
So nilikutana nae tukafanikiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi


Cc Smart911
 
Duh!!Mimi binafsi nawaogopa Sana watu wa JF, tutaishia kuandika kwenye forums na Kutumiana PM basi mengine sitaki kuyasikia...Ngoja nifuatilie shuhuda za watu naweza kupata marafiki wema humu[emoji23][emoji23]
 
Watu pekee ambao napenda na natamani sana Kukutana nao kwakuwa ninatamani kuwa ' Genius / Brainy ' kama walivyo Wao na nawakubali sana, japo najua kwa Hadhi yangu ya ' Kikapuku / Kimasikini ' huku Dhiki, Taabu na Majaribu vikiwa ni Sehemu ya Maisha yangu wanaweza Kukataa Kukutana nami ni hawa Wafuatao....

1. Sky Eclat
2. Bila bila
3. kagoshima
4. Baba Swalehe
5. DOUGLAS SALLU
6. The Boss
7. Chakaza

JF ina ' Great Thinkers ' wengi tu na wote nawakubali hata kama wengine sijawataja katika Kikosi changu hiki ila hawa ( 7 ) ni wa Thamani sana tu.
 
Pengine OP anatamani kukutana na watu lakini anaogopa. Ameuliza ajue kama wengine wanakutana na ni kawaida?. Anataka kuwa inspired, Maybe?

Nikikutana na wewe sifanyi siri, chumba changu cha siri kimejaa The Monk na sina mpango wa kuongeza space.
Naomba tukutane.
 
Kuna watu huja PM na kujifanya marafiki mnapiga story kumbe anakudodosa apate mawili matatu, unaishije then baadae anakuja na I'd nyingine kuanzisha Uzi au kuku attack na kusambaza umbeya, Kuna mmoja akapeleka maneno Hadi kwa mahawara zake wa humu ilinishangaza Sana.
In short JF nikutokuzoeana na mtu kabisa wengi humu failures wa life unakuta hakujua anaandika ili aonekane na yeye anakujua sijui kwa faida ya Nani, waache utoto,
Binafsi Kuna watu nafahamiana nao kwa I'd nyingine wanajifanya wema tuna chart kwingine Wana ni attack na vitu vya uongo kwa taarifa siwezi kubadili I'd yangu kisa wasengerema wasiojielewa Nita change tu siku nikijiskia Ila sio kwa wapuuzi wanaojifanya kunijua, hata wakinijua Hadi kisimi I won't change anything.
Watu kueni jamani, great thinker Ila Kuna watu akili Bora za nyumbu, hii platform muhimu ya kushare mawazo sio ujinga woooi,
Muwe na siku njema wote mnaojielewa
 
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419] Umesema mama.
 
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419] Umesema mama.
Kuna watu wanakera Sana jamani Sasa unakuja wajifanya rafiki hunijui ile undani then unaanza kuandika uongo hadharani hawajui kuwa huku tuna wazazi, ndugu na marafiki, mtu anayetoa Mambo ya PM, na nje ya JF apigwe tu life ban wallah, kukutana na mtu au kutatuliana shida isiwe sababu za kusambiziana umbeya, Tena wanaume ni vinara sijui Wana shida gani wallah.
 
Kwanini umebold Uzi wako? Yan ni kama vile unatufokea na kutulazimisha tutoe shuhuda wakati we mwenyewe hujatoa.

Edit Uzi wako, weka ushuhuda wako tuone mfano then wachangiaji tuendelee
Leo kazini kwako wamekukoma. Maana umeamka na kisirani hatari.[emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…