Thanks dear. Things started here [emoji116]
Mkuu ni swala la kumjulisha tu. Usharudi toka Mbeya?
Ngoja nizipitie hizi nyuzi..asante mahondawThanks dear. Things started here [emoji116]
Rafiki yangu bado ananiumiza sana
Then here [emoji116]
Happy anniversary to us Smart911 & mahondaw
Then here [emoji116]
Happy 2nd anniversary my heartbeat!
Then here [emoji116]
Happy 3rd anniversary Smart911 sweetheart
Cc Smart911
Duh!!Mimi binafsi nawaogopa Sana watu wa JF, tutaishia kuandika kwenye forums na Kutumiana PM basi mengine sitaki kuyasikia...Ngoja nifuatilie shuhuda za watu naweza kupata marafiki wema humu[emoji23][emoji23]Habarin Wadau , kufuatia ukuwaji wa sayansi na teknolojia ktk sekta ya mawasiliano kumepelekea ongezeko la matumizi ya mitandao ya kijamii including JF. Mitandao ya kijamii ni platform kukutana na watu mbali mbali na kutengeneza mahusiano , urafiki, biashara n.k. Je tangu Umeanza kutumia JF Je umewahi kukutana na mtu yeyote na kutengeneza
A. Urafiki
B. Mahusiano ya kimapenzi
C. Fursa mbalimbali e.g kimasomo, biashara , ajira
Tukutane rafikiKwa hiyo hadi huko walikokutana alitumia utambulisho feki?
Pengine OP anatamani kukutana na watu lakini anaogopa. Ameuliza ajue kama wengine wanakutana na ni kawaida?. Anataka kuwa inspired, Maybe?Tena hii inabidi iongezwe kwenye kanuni na masharti ya JF, ni marufuku na kosa la jinai kujimwambafy unafahamiana na member wa JF.
Kama nna shida na mtu tutatafutana tuyajenge lakini sio kuweka hapa hadharani.
Kwa kumsaidia tu mleta uzi, hawa watu tulionao JF ndio hao hao tuko nao mtaani.
Kuna waungwana, wafanya biashara, matapeli, wenye kujitambua, mateja, watoto, wazee yani kila kaliba.
Namaanisha ni kisima chenye kila kitu unaweza kupata msaada au kujifunza mambo ya muhimu yakakusaidia maishani.
Ninatamani kukuta a na GENTAMYCINE
Kuna watu huja PM na kujifanya marafiki mnapiga story kumbe anakudodosa apate mawili matatu, unaishije then baadae anakuja na I'd nyingine kuanzisha Uzi au kuku attack na kusambaza umbeya, Kuna mmoja akapeleka maneno Hadi kwa mahawara zake wa humu ilinishangaza Sana.Unajua hata sheria za hukumu ya kunyongwa zipo na hazijakomesha uhalifu bado, ila zinapunguza wsle waoga na wanaojitambua kidogo kujiingiza kwenye uhalifu.
Kwa sio wengine kuwa na ID zaidi ya moja ni utumwa. Sheria zirasaidia uzi kufutwa na adhabu juu. Haitamaliza tatizo ila itapunguza.
Hicho ulichosisitiza cha kuwa makini ndio muhimu zaidi, kuna watu hauwezi kuwazuia kufanya mambo, watakuanika hata PM ilimradi wakuharibie tu.
huna mikosi,nipo kwa ajili yako
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419] Umesema mama.Kuna watu huja PM na kujifanya marafiki mnapiga story kumbe anakudodosa apate mawili matatu, unaishije then baadae anakuja na I'd nyingine kuanzisha Uzi au kuku attack na kusambaza umbeya, Kuna mmoja akapeleka maneno Hadi kwa mahawara zake wa humu ilinishangaza Sana.
In short JF nikutokuzoeana na mtu kabisa wengi humu failures wa life unakuta hakujua anaandika ili aonekane na yeye anakujua sijui kwa faida ya Nani, waache utoto,
Binafsi Kuna watu nafahamiana nao kwa I'd nyingine wanajifanya wema tuna chart kwingine Wana ni attack na vitu vya uongo kwa taarifa siwezi kubadili I'd yangu kisa wasengerema wasiojielewa Nita change tu siku nikijiskia Ila sio kwa wapuuzi wanaojifanya kunijua, hata wakinijua Hadi kisimi I won't change anything.
Watu kueni jamani, great thinker Ila Kuna watu akili Bora za nyumbu, hii platform muhimu ya kushare mawazo sio ujinga woooi,
Muwe na siku njema wote mnaojielewa
Vizuri kaspersky consciousDuh!!Mimi binafsi nawaogopa Sana watu wa JF, tutaishia kuandika kwenye forums na Kutumiana PM basi mengine sitaki kuyasikia...Ngoja nifuatilie shuhuda za watu naweza kupata marafiki wema humu[emoji23][emoji23]
Kuna watu wanakera Sana jamani Sasa unakuja wajifanya rafiki hunijui ile undani then unaanza kuandika uongo hadharani hawajui kuwa huku tuna wazazi, ndugu na marafiki, mtu anayetoa Mambo ya PM, na nje ya JF apigwe tu life ban wallah, kukutana na mtu au kutatuliana shida isiwe sababu za kusambiziana umbeya, Tena wanaume ni vinara sijui Wana shida gani wallah.[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419] Umesema mama.
Leo kazini kwako wamekukoma. Maana umeamka na kisirani hatari.[emoji12]Kwanini umebold Uzi wako? Yan ni kama vile unatufokea na kutulazimisha tutoe shuhuda wakati we mwenyewe hujatoa.
Edit Uzi wako, weka ushuhuda wako tuone mfano then wachangiaji tuendelee