Huyu hakubaka mbona wote tunajua chanzo? kumbuka wimbo wake wa "SALIMA" ndio uliomponza mwenye masikio na asikie the home of great thinker.
Hivi angewanajisi watoto wako wewe ungemwonea huruma?.asee nimeumia saaana ningejua nisingefungua thread hii
hivi yule mwalimu walimlipa kiasi gani kusema
uongo ?na kwanini yule mwalimu
yupo huru wkt nayeye alikuwa anawapeleka
hao watoto kwa mujibu wa magazeti?
ila what goes around comes around
hata kama si kwa stail ya babu seya loool
kwani huu wimbo ulimlenga salma??? Tafadhali fafanua mkuu
Hakuna haja ya kumuonea huruma mbakaji. Hivi angekuwa amefanyiwa mwanao ungefurahi? Hii adhabu nadhani haimtoshi, watu wa aina hii hutakiwa kunyongwa tu.
Money?!, money au madaraka!?Umesahau kuwa money talks?
what do you mean money talks? mbele ya Mwenyezi Mungu hakuna kitu kama hicho! between your legs!Umesahau kuwa money talks?
Pigia mstari!Dadavua kiduchu kuhusu hilo Jina maana naona linafanana na la DADA MKUU