Shuhudia harusi ya Semenya, Mwanariadha wa kike bingwa mita 800 mwenye tuhuma za "jinsia mbili"

Huyu mkimbiaji huwa simwelewi kwa kweli
 
mh huyu ni dume, kifua kipo flat ivyoo
 
mh huyu ni dume, kifua kipo flat ivyoo
Lakini kama hana "jembe" atakuwaje dume?

Si unaona hata hapo chini ni "flat" pia? Tena inaonesha hata "kitumbua" chake ni kiduchu!
 
ha ha ha ha bwana harus kala jeans... dah ila sasa na hao wamama wamekubali kabisa binti yao kuoa na picha wamepiga

ila ka mke kake nako kazuri kumbe
 
Mwanamke = Ni kuwa na kiungo cha kike.
Mwanaume = Ni kuwa na kiungo cha kiume.

Kwahiyo kama wewe una matiti una hipsi lakini huna KIKE, kisha unaitwa MWANAMKE kataa kuanzia leo.

Kama wewe una ndevu, umekomaa,una vigimbi,una sura ya kiume lakini huna UUME,kisha unaita MWANAUME kataa kuanzia leo.
 
umeona uchi wake
south africa wanaoana jinsia moja
mtoto wa desmond tutu kaolewa na mwanamke mwenzake
umbo la uanaume ndo linaonekana zaidi kwake...yawezekana pia ana nyeti mbili may be... i real wonder mwanamke unaolewa na mwanamke mwenzio ili mfanye nini...???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…