johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwa namna Shujaa Magufuli alivyotuandaa Kupambana katika Mazingira magumu ya Africa kutengwa na Wazungu huyu Trump na mikwara yake tutakabiliana naye kiulalo ulalo 🐼
Trump anafuta mikataba ya misaada kila siku na Jirani zetu Kenya wameshakiri kuwa watakuwa na Hali Ngumu sana
RIP Shujaa Magufuli
Trump anafuta mikataba ya misaada kila siku na Jirani zetu Kenya wameshakiri kuwa watakuwa na Hali Ngumu sana
RIP Shujaa Magufuli