Shujaa Magufuli Miaka 5 tu Kazi zake zikawa Kampeni tosha 2020 lakini Mwamba Mbowe Miaka 21 bado anafanya kampeni kwenye TV kila Siku!

Shujaa Magufuli Miaka 5 tu Kazi zake zikawa Kampeni tosha 2020 lakini Mwamba Mbowe Miaka 21 bado anafanya kampeni kwenye TV kila Siku!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Hivi kwa miaka 21 Mwamba Mbowe hakuna Kazi zinazoonekana alizofanya kwa manufaa ya Chama ama Nchi?

Kwanini msitumie hizo Kazi zake au mafanikio yake kama msingi wa kampeni na yeye akapumzika tu badala ya kuhangaika kwenye Studio kila asubuhi?

Afanye kama Shujaa Magufuli 2020 Hapa Kazi Tu

Au Mwamba hajafanya chochote kwa miaka 21?

Ahsanteni Sana 😂
 
Hivi kwa miaka 21 Mwamba Mbowe hakuna Kazi zinazoonekana alizofanya kwa manufaa ya Chama ama Nchi?

Kwanini msitumie hizo Kazi zake au mafanikio yake kama msingi wa kampeni na yeye akapumzika tu badala ya kuhangaika kwenye Studio kila asubuhi?

Afanye kama Shujaa Magufuli 2020 Hapa Kazi Tu

Au Mwamba hajafanya chochote kwa miaka 21?

Ahsanteni Sana 😂
Umechanfanya anayeshida studio na mitandaoni sio Mbowe ni Lisu

Badili kichwa cha mada yako
 
Umechanfanya anayeshida studio na mitandaoni sio Mbowe ni Lisu

Badili kichwa cha mada yako
Kesho atakuwa Clouds Kwa Sam Sasali na Mwenyekit wa UWT mh Kijakazi 😂😂😂

Hassan Ngoma atakuwepo pia 🐼
 
Na kama mwaka 2020 hakupiga Kampeni, yule aliyekuwa anazunguka amevaa pama alikuwa nani?
Alikuwa Lisu akiwezeshwa na Chadema kipesa na gharama zilizoratibiwa na Mbowe na matajiri wenzie wenye pesa

Lisu hata hakuwa na hela za kuzunguka hana na hata ahame kwenda chama chochote agombee uraisi yatamkutq ya Membe alidhani akihamia AcT wazalendo Wapemba wangembeba na pesa zao azunguke nchi nzima kwa gharama zao sio zake.Aliishia tu.kuhutubia kwenye jukwaa tu la mbao kijijini kwao Rondo

Act wazalendo hawahitaji lofa kama Lisu

Akipigwa chini uchaguzi na Chadema ndio kwa heri yake ya kuonana kisiasa kwenye siasa za Tanzania
 
Back
Top Bottom