johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mbowe anahojiwa na TV za CCMJiwe alikuwa na nguvu ya dola sio nguvu ya uchumi wala maendeleo
Na kama mwaka 2020 hakupiga Kampeni, yule aliyekuwa anazunguka amevaa pama alikuwa nani?Jiwe alikuwa na nguvu ya dola sio nguvu ya uchumi wala maendeleo
Nafuatilia hii wildfire ya LAUmepiga tot ngapi?ππππ
Alikuwa Tundu lisu πππNa kama mwaka 2020 hakupiga Kampeni, yule aliyekuwa anazunguka amevaa pama alikuwa nani?
Umechanfanya anayeshida studio na mitandaoni sio Mbowe ni LisuHivi kwa miaka 21 Mwamba Mbowe hakuna Kazi zinazoonekana alizofanya kwa manufaa ya Chama ama Nchi?
Kwanini msitumie hizo Kazi zake au mafanikio yake kama msingi wa kampeni na yeye akapumzika tu badala ya kuhangaika kwenye Studio kila asubuhi?
Afanye kama Shujaa Magufuli 2020 Hapa Kazi Tu
Au Mwamba hajafanya chochote kwa miaka 21?
Ahsanteni Sana π
Hao Kila mwaka majanga. Trump kasema hatawasaidia hata kidogo.Nafuatilia hii wildfire ya LA
Kibongobingo tungesema Kagorofa ka Mwijaku Kako motoni ππππ
Kazi zake bwasheeUshujaa wake ni kwenye nini?
Kesho atakuwa Clouds Kwa Sam Sasali na Mwenyekit wa UWT mh Kijakazi πππUmechanfanya anayeshida studio na mitandaoni sio Mbowe ni Lisu
Badili kichwa cha mada yako
Alikuwa Lisu akiwezeshwa na Chadema kipesa na gharama zilizoratibiwa na Mbowe na matajiri wenzie wenye pesaNa kama mwaka 2020 hakupiga Kampeni, yule aliyekuwa anazunguka amevaa pama alikuwa nani?