Shujaa Magufuli ndiye kaamua uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Ndiye atakayeamua Rais na Wabunge October

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kama unabisha endelea kubisha lakini juzi Kuhani Mussa kapokea Mchango wa Rais na kutoa baraka zake za kikuhani

CCM inatumia misingi ile ile iliyowekwa na Shujaa Magufuli na kwa Bahati nzuri this October hatutakuwa na Chadema

Ninachojua hakunaga mwanaccm atakayekubali kuachia Jimbo kama alivyofanya Kessy wa Namanyele Nkasi na Hawa Ghasia wa Mtwara Vijijini

Ubunge ni 100% kwa CCM Upande wa Tanganyika

Zanzibar ni Nchi ya kuumeni lazima watagawana Majimbo kule hakunaga Simbilisi

Nawatakia Sabato Njema πŸ˜„
 
hakuna mTanzania anaweza kubabaika na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ngazi ya kata, jimbo au Taifa, gentleman...

mwendo ni kuchukua, kuweka waaa aaaaπŸ’
 
Hakunaga Simbilisi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€!
 
Hakunaga Simbilisi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€!
Mkuu we si unaona Simbilisi wa Chadema wanavyogombea mkate wa Ruzuku πŸ˜‚πŸ˜‚

Wapemba hawaendekezi Njaa wamemkalisha pembeni Mwami Zitto Kabwe na Njaa zake za Kikosi Kazi Cha Prof Mkandara πŸ˜‚πŸ”₯
 
Juha ndie anauita huu ulikuwa uchaguzi..wenye akili wanafahamu hakukuwa na uchaguzi wa serikali za mitaa 2024.
 
hakuna mTanzania anaweza kubabaika na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ngazi ya kata, jimbo au Taifa, gentleman...

mwendo ni kuchukua, kuweka waaa aaaaπŸ’
Kibaraka ambae ana hela, ha a utajiri wowote? Vibaraka kote dunia nzima ni matajiri kutokana na pesa wanazopewa

Ukibaraka wa huyu bwana ni upi?
 
Kibaraka ambae ana hela, ha a utajiri wowote? Vibaraka kote dunia nzima ni matajiri kutokana na pesa wanazopewa

Ukibaraka wa huyu bwana ni upi?
hela ziko kwa Moise Katumbi DRC, mitihani ni kwamba ataziingizaje nchini na hana hata biashara?

NGO's darubini ni kali mno πŸ’
 
Kessy na Ghasia hawakuachia majimbo kirahisi tu walikorofishana na huyo shujaa na majina yao yakachinjiwa baharini.

Ghasia licha ya ukaribu wake na JK hakuiva na Hayati JPM, Kessy pia uchawa ulimzidi mpaka akaonekana ni adui wa mipango ya Chama.

Hayati JPM licha ya uwezo wake wa kufanya kazi na ufuatiliaji wa masuala mazito ya kitaifa alikuwa na udhaifu wa kujikweza mpaka anapitiliza, aliamini sana katika uwezo wake mwenyewe na hakuona kosa lolote katika kuishi na hulka hiyo.

Kusema msiponiletea mgombea wa CCM sileti maendeleo ni kielelezo cha dharau na kiburi alichokuwa nacho, kujiamini kupita kiasi.
 

Nakubaliana na wewe. Baada ya Dr. Kabendera kumwaga upupu ..... Njia pekee ya kuendelea kutunza siri yao ya In the Name of the President, ni kumalizana na uchaguzi.
 
Katiba ya JMT ni ya mwaka 1977 sawia na ile ya CCM

Sasa wewe wa 1992 connection Yako iko wapi hadi upate Maendeleo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…