johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
hakuna mTanzania anaweza kubabaika na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ngazi ya kata, jimbo au Taifa, gentleman...Kama unabisha endelea kubisha lakini juzi Kuhani Mussa kapokea Mchango wa Rais na kutoa baraka zake za kikuhani
CCM inatumia misingi ile ile iliyowekwa na Shujaa Magufuli na kwa Bahati nzuri this October hatutakuwa na Chadema
Ninachojua hakunaga mwanaccm atakayekubali kuachia Jimbo kama alivyofanya Kessy wa Namanyele Nkasi na Hawa Ghasia wa Mtwara Vijijini
Ubunge ni 100% kwa CCM Upande wa Tanganyika
Zanzibar ni Nchi ya kuumeni lazima watagawana Majimbo kule hakunaga Simbilisi
Nawatakia Sabato Njema π
Hakunaga Simbilisi πππ!Kama unabisha endelea kubisha lakini juzi Kuhani Mussa kapokea Mchango wa Rais na kutoa baraka zake za kikuhani
CCM inatumia misingi ile ile iliyowekwa na Shujaa Magufuli na kwa Bahati nzuri this October hatutakuwa na Chadema
Ninachojua hakunaga mwanaccm atakayekubali kuachia Jimbo kama alivyofanya Kessy wa Namanyele Nkasi na Hawa Ghasia wa Mtwara Vijijini
Ubunge ni 100% kwa CCM Upande wa Tanganyika
Zanzibar ni Nchi ya kuumeni lazima watagawana Majimbo kule hakunaga Simbilisi
Nawatakia Sabato Njema π
Mkuu we si unaona Simbilisi wa Chadema wanavyogombea mkate wa Ruzuku ππHakunaga Simbilisi πππ!
Juha ndie anauita huu ulikuwa uchaguzi..wenye akili wanafahamu hakukuwa na uchaguzi wa serikali za mitaa 2024.Kama unabisha endelea kubisha lakini juzi Kuhani Mussa kapokea Mchango wa Rais na kutoa baraka zake za kikuhani
CCM inatumia misingi ile ile iliyowekwa na Shujaa Magufuli na kwa Bahati nzuri this October hatutakuwa na Chadema
Ninachojua hakunaga mwanaccm atakayekubali kuachia Jimbo kama alivyofanya Kessy wa Namanyele Nkasi na Hawa Ghasia wa Mtwara Vijijini
Ubunge ni 100% kwa CCM Upande wa Tanganyika
Zanzibar ni Nchi ya kuumeni lazima watagawana Majimbo kule hakunaga Simbilisi
Nawatakia Sabato Njema π
Hatari sana πMkuu we si unaona Simbilisi wa Chadema wanavyogombea mkate wa Ruzuku ππ
Wapemba hawaendekezi Njaa wamemkalisha pembeni Mwami Zitto Kabwe na Njaa zake za Kikosi Kazi Cha
Kibaraka ambae ana hela, ha a utajiri wowote? Vibaraka kote dunia nzima ni matajiri kutokana na pesa wanazopewahakuna mTanzania anaweza kubabaika na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ngazi ya kata, jimbo au Taifa, gentleman...
mwendo ni kuchukua, kuweka waaa aaaaπ
hela ziko kwa Moise Katumbi DRC, mitihani ni kwamba ataziingizaje nchini na hana hata biashara?Kibaraka ambae ana hela, ha a utajiri wowote? Vibaraka kote dunia nzima ni matajiri kutokana na pesa wanazopewa
Ukibaraka wa huyu bwana ni upi?
Kwanini wanaomfadhili waweke pesa zake kwa moise katumbi? Ili iweje?hela ziko kwa Moise Katumbi DRC, mitihani ni kwamba ataziingizaje nchini na hana hata biashara?
NGO's darubini ni kali mno π
Kessy na Ghasia hawakuachia majimbo kirahisi tu walikorofishana na huyo shujaa na majina yao yakachinjiwa baharini.Kama unabisha endelea kubisha lakini juzi Kuhani Mussa kapokea Mchango wa Rais na kutoa baraka zake za kikuhani
CCM inatumia misingi ile ile iliyowekwa na Shujaa Magufuli na kwa Bahati nzuri this October hatutakuwa na Chadema
Ninachojua hakunaga mwanaccm atakayekubali kuachia Jimbo kama alivyofanya Kessy wa Namanyele Nkasi na Hawa Ghasia wa Mtwara Vijijini
Ubunge ni 100% kwa CCM Upande wa Tanganyika
Zanzibar ni Nchi ya kuumeni lazima watagawana Majimbo kule hakunaga Simbilisi
Nawatakia Sabato Njema π
Kama unabisha endelea kubisha lakini juzi Kuhani Mussa kapokea Mchango wa Rais na kutoa baraka zake za kikuhani
CCM inatumia misingi ile ile iliyowekwa na Shujaa Magufuli na kwa Bahati nzuri this October hatutakuwa na Chadema
Ninachojua hakunaga mwanaccm atakayekubali kuachia Jimbo kama alivyofanya Kessy wa Namanyele Nkasi na Hawa Ghasia wa Mtwara Vijijini
Ubunge ni 100% kwa CCM Upande wa Tanganyika
Zanzibar ni Nchi ya kuumeni lazima watagawana Majimbo kule hakunaga Simbilisi
Nawatakia Sabato Njema π
Katiba ya JMT ni ya mwaka 1977 sawia na ile ya CCMKessy na Ghasia hawakuachia majimbo kirahisi tu walikorofishana na huyo shujaa na majina yao yakachinjiwa baharini.
Ghasia licha ya ukaribu wake na JK hakuiva na Hayati JPM, Kessy pia uchawa ulimzidi mpaka akaonekana ni adui wa mipango ya Chama.
Hayati JPM licha ya uwezo wake wa kufanya kazi na ufuatiliaji wa masuala mazito ya kitaifa alikuwa na udhaifu wa kujikweza mpaka anapitiliza, aliamini sana katika uwezo wake mwenyewe na hakuona kosa lolote katika kuishi na hulka hiyo.
Kusema msiponiletea mgombea wa CCM sileti maendeleo ni kielelezo cha dharau na kiburi alichokuwa nacho, kujiamini kupita kiasi.
there is no root to pass πKwanini wanaomfadhili waweke pesa zake kwa moise katumbi? Ili iweje?
Hao waliokuwa na akili mwaka 1977 wanazidi kupungua kila kukicha, ufike muda sisi wazee tuache kuishi kiubinafsi tukitambua kuwa Tanzania ipo hata miaka 2000 ijayo.Katiba ya JMT ni ya mwaka 1977 sawia na ile ya CCM
Sasa wewe wa 1992 connection Yako iko wapi hadi upate Maendeleo?
Mzee ni Freeman Mbowe wa hapo Chadema ambaye 1977 alikuwa muasisi wa UVCCM πHao waliokuwa na akili mwaka 1977 wanazidi kupungua kila kukicha, ufike muda sisi wazee tuache kuishi kiubinafsi tukitambua kuwa Tanzania ipo hata miaka 2000 ijayo.
Mshirikina haukauki kupambania jukwaa la Mama Khafidh.there is no root to pass π