Shujaa Majaliwa bora aende mafunzoni tu

Watamuua kweli hapo wamemzungushia mipombe ya manyoa nyoa.
 
Ni kweli awahi mapema maana Eng Victor Kaanza kuchafua Hali ya hewa
 
Huko mafunzo ataenda kufundisha uokoaji?au kufundishwa na waliotakiwa kufundishwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…