"Kagame ana akili marakumi zaidi ya akili ya kawaida" this is too much.....hata yeye akiona hiki ulichoandika atashangaa.Kagame ana akili marakumi zaidi ya akili za kawaida,kimbia popote pale hata ukifa atajua kaburi lako liko wapi,kama ni kufukua atafukua ilimradi tu mission yake itimie.
Wali m abduct akiwa dubai!
!
Ila jamaa wako vizuri sana wanaonekana....yaani wameenda kumteka hukohuko London au?
Nafikiri kwa sasa paul kagame atumie akiri yake kupigania uhuru wake na kaya yake, la atapotezaKagame ana akili marakumi zaidi ya akili za kawaida,kimbia popote pale hata ukifa atajua kaburi lako liko wapi,kama ni kufukua atafukua ilimradi tu mission yake itimie.
Israel inatafuta wakosefu ambao hata Interpol huwa inawatafuta. Kwa hiyo huwa hawana kinga ya kutokamatwa, na wakikamatwa wanahukumiwa kwa haki.Kwenye kuwachukua ughaibuni nililenga zaidi Israel kuliko Russia.. Israel walimtafuta bwana Vita mmoja kutoka German wakamhukum kwa makosa ya kushirikiana na Hitler kuua wayahudi
Huyo hakutekwa alipewa sumu kwenye kahawa wakati alipokutana hotelini na Mrusi mmoja jina lilitajwa. Hata wewe unaweza mpa mtu sumu nchi yoyote duniani, lakini si kumteka. Ama ukamatwe ukiwa nchini bado, ama utafutwe baada kidogo tu ya kutoka. Kwenye ujasusi wanalenga kufuta ushahidi wa wahusika hata baadae ukose kuwapata.Rejea kesi ya litvinenko Alexander, nadhani m16/15 walikuwa wamelala kidogo.
Boss wa umafia wa zamani wa Rwanda mwenywewe keshawahi wekwa rumande London.Urusi ina makumi ya maadui nchini UK lakini haiwezi jaribu hata kumteka mmoja. MI6 na MI5 sio watoto wale, wanakufata kila kona. Imagine waliompa sumu Sergei Skripal walitambuliwa na group la uchunguzi la kiraia, hapo involvement ya majasusi haikuwepo.
Na akatolewa rumande na Mke wa Tony Blair(wakili wake).Boss wa umafia wa zamani wa Rwanda mwenywewe keshawahi wekwa rumande London.
Alitolewa kwa vile ni kondomu ambayo bado inatumika,isingekuwa inatumika ingupwa Spain.Mfano mzuri wa kondomu iliyotumika na kutupwa baada ya matumizi ni Charles Taylor.Na akatolewa rumande na Mke wa Tony Blair(wakili wake).
Sure na sasa ameshakorofishana na boss wake wa zamani yuko semi-house arrest.Alitolewa kwa vile ni kondomu ambayo bado inatumika,isingekuwa inatumika ingupwa Spain.Mfano mzuri wa kondomu iliyotumika na kutupwa baada ya matumizi ni Charles Taylor.
Dah!..jamaa yupo kizuizini?Sure na sasa ameshakorofishana na boss wake wa zamani yuko semi-house arrest.
Sio under full kizuizi lkn yuko 'under watch' kiaina aina hivi,kuna blunder alipiga Congo baada ya kua ametoka kwny hio nafasi yake baada ya hapo akawekwa "under watch".Dah!..jamaa yupo kizuizini?
Yule aliyeigiza kwny hio movie ni star maarufu wa huko hollywood anaitwa Don cheadle ila huyu aliyekamatwa ndie Paul muhusika wa kweli wa hio movie,so aliyeigiza na aliyekamatwa ni watu wawili tofauti.sura yake imebadilika kweli...siyo wa kwenye movie!