Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,606
- 1,711
Tuliambiwa yeye ndiye mtu pekee mwenye viwango na uwezo wa kuendesha Bunge Maalum la Katiba.
Mitandao ikajaa sifa kemkem kuhusu aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji enzi za kubinafsisha mashirika yetu ya umma.
Akapigiwa sana kampeni mitandaoni Spika huyo wa zamani wa Bunge la Jamhuri ya Muungano enzi za mabomu ya EPA, MEREMETA na RICHMOND aliyewahi kusikika kwenye kipindi cha runinga akihoji vielelezo vya ufisadi vilivyowasilishwa bungeni na kudai atavipeleka polisi.
Nini kimewasibu mashabiki wake?
Shujaa wa jana iweje asiwe wa leo?
Kiko wapi?
Mitandao ikajaa sifa kemkem kuhusu aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji enzi za kubinafsisha mashirika yetu ya umma.
Akapigiwa sana kampeni mitandaoni Spika huyo wa zamani wa Bunge la Jamhuri ya Muungano enzi za mabomu ya EPA, MEREMETA na RICHMOND aliyewahi kusikika kwenye kipindi cha runinga akihoji vielelezo vya ufisadi vilivyowasilishwa bungeni na kudai atavipeleka polisi.
Nini kimewasibu mashabiki wake?
Shujaa wa jana iweje asiwe wa leo?
Kiko wapi?