Shukran kwa wana jf

Flammable

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2013
Posts
872
Reaction score
103
Habari wana jamvi!nawashukuru wote mlionisadia ktk kutatua tatizo langu.Nilikuwa nimeshindwa ku EDIT fakat zangu wakat wa kujaza tcu bt kupitia jf nimefanikiwa kufanya hivyo.WOTE WENYE BUSARA MUNGU AWABARIKI WOTE.Nimeamin jf ni zaid ya google
 
Hebu tueleze umefanyaje fanyaje ktk kutatua tatizo lako.
 
Pamoja mkuu basi hata ukipata kamkopo utukumbuke kwenye ufalme wako japo kwa kavocha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…