shukran mzizimkavu,

tricky

Senior Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
107
Reaction score
32
kwasasa tatizo langu la harufu mbaya kinywan limeisha baada ya kutafuna tangawiz kwa mwez sasa naona hili tatizo cpo nalo tena japokuwa nivigumu kujua kama unatokwa na harufu mbaya ila kwamim naona imekwisha kwasababu sahv kinywa changu cyo kikavu kama hapo awali na sasa nikichokonoa mabak ya chakula mdomon hayatoi tena harufu ukilinganisha na huko cku nyuma..je nikiendelea kutumia tangawiz kutakuwa na tatizo lolote...ahsante sana Mungu akubariki.
 
Asante kwa kunipa Feedback ndio mimi ninavyotaka hivyo unaweza kuendelea kunywa chai ya Tangawizi ni dawa ya kila maradhi.

FAIDA ZA KUTUMIA JUICE YA TANGAWIZI AU CHAI YA TANGAWIZI



Katika miaka 500 iliyopita tangawizi ilianza kutumika mashariki ya mbali, kama vile China na India wakitumia kwa kutibu maradhi mbali mbali.
Katika hili zao la tangawizi kuna vyanzo vya:
Mangenisium
Mangnese
Potasium
Copper
Vitamini B6
Hii ikiwa katika mwili wa binaadamu ikiwa ni pamoja na ugunduzi wa wataalamu kutengeneza tangawizi ni tiba tosha kwa magonjwa ya ngozi


Hili hapa kwenye picha ni zao la tangawizi kama linavyoonyesha likiwa bado kusagwa.

Faida za kutumia tangawizi:

-
.Husaidia kupunguza kama si kuondoa kichefuchefu ni nzuri haswa kwa wale wnawake wenye

mimba changa ambao husumbuliwa kutapika.

-Husaidia wale wenye matatizo ya maumivu makali kupata ahueni, pia husaidia kusambaza damu kwenye mwili kwa haraka zaidi.

-Husaida msago wa chakula kwa haraka zaidi kwa kuchanganya na tindikali tumboni.

-Husaidia kwa wale wanaosafiri baharini ikiwa na machafuko kuzuia kutapika,kwa kutumia nusu saa kabla ya kusafiri na boti.

-Husaidi kupigana na kukinga kansaa ya kizazi.

-Tangawizi husaidia kupunguz maumivu mwilini

-Husaidia kutoganda kwa damu mwilini

-Wataalamu wamegundua tangawizi ni dawa tosha ya presha kuliko kitunguu swaumu.

Husaidi kuponya fluu kwani chai ya tangawizi ni salama
 
nasikia inaongeza nguvu za kupambu k sijui ni kweli?
 
Be blessed MziziMkavu
Nikipitia makala zako za ushaur hasa tiba najifunza mengi
 
Last edited by a moderator:
dah asante mzizimkavu kwani nina ujauzito na unanisumbua kweli
Pole bibie kwani huo uja uzito ndio mara yako ya kwanza nini? huenda ni mimba ya mtoto wa kiume huyo anakuja na vituko vyake. Nenda kapime ili tupate kujuwa ni nini chanzo chake mimba yako inakusumbuwa ? pole sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…