Shukrani clouds

Bilionea kid

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2018
Posts
581
Reaction score
519
"Nimeamua kuleta keki kama Shukrani yangu kwa #CloudsMediaGroup kwani kwangu inanigusa katika njia kuu tatu. .
.
.
1. Kama mwanafamilia ambaye ilinishika mkono toka nikiwa mdogo. .
.
.

2. Kama msanii ambaye iliweza kunishikiria na mpaka sasa ngoma zangu zimekuwa zikitawala sehemu nyingi kupitia #Clouds .
.
.

3. Kama mtoto ambaye nimelelewa na mchango mkubwa kutoka Clouds na hii inatokana na Baba yangu @captaintanzania kuwa mfanyakazi wa hapa" @malkiakaren
#Clouds19
#Shukrani2018
 
Tumekuelewa[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Hivi gadner hana mtoto mwingine zaidi ya Karen?
 
Kingwendu
Hahahaaa..
Kumbe wewe ni Kingwendu
Daah aisee nakukubali sana Kingwendu hasa kwa upande wa music unatisha baba.

Daah alafu lile dude lako linaitwa MAPEPE Ni hatare sanaaa
Huyu demu mapepeee mapepeee
Baba hilo dude Ni noma.

Alafu mkuu vipi kuhusu dude lako lile unalotaka kufanya na Bwana mdogo Diamondy???


Pamoja sana mkuu KINGWENDU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…