SHUKRANI kwa SENATOR.

NingaR

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2012
Posts
2,759
Reaction score
591
Najua wengi mtaanza kujiuliza Huyu jamaa ni nani?? hamuwezi jua maana JF mlivutwa na ze duduz.
Senator ametoa mchango mkubwa sana katika ushauri wakati wa michakato ya uombaji wa vyuo na mikopo, kwa wadau wa Jukwaa la Elimu nadhani mnamfahamu, naanzisha uzi huu Kama shukrani kwake kwa kutusaidia wengi kwa namna moja ama nyingine!!

Thanks Mkuu SENATOR mungu akujalie.
 
Dah!hata me huyu msela kanisave sana.
 
Pamoja sana vijana.mkasome sasa!
 
Hongera sana @Senetor. Endelee na moyo huo huo.
lakini huyu dogo si ameshaua chuo? mia
 
Bwana Ninga R umesahau kuhusiana na mchakato wa matokeo jamaa alikuwa mstari wa mbele kutujuza kila kitu kilichokuwa kikiendelea katika matokeo yetu mpaka siku ile yanatangazwa rasmi nakumbuka alitutajia tanzania one kabla matokeo hayajatolewa rasmi " kwa kweli senator umenisaidia mambo mengi sana !! Naomba Mungu akutangulie na akusaidie katika mambo yako yote narudia tena Shukrani sana kaka !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…