NAXFRA
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 392
- 74
Napenda kutoa shukrani kwa wana janvi kwa nilichojifunza humu kwa muda mrefu na kufanikiwa kukamilisha kuandika kitabu cha ujasiliamali chenye kurasa 240.... kiitwacho "THE SECRET(S) OF SUCCESS IN ENTREPRENEURSHIP". Kitabu hiki kitakuwa hewani kuanzia wiki ijayo na ntawajuza. niliamua kutumia lugha ya kingereza kwa sababu zifuatazo:
1. upatikanaji wa rejea nyigi katika lugha ya kingereza
2. kuwafikia watu hata nje ya Tanzania
3. kutojitoshereza kwa vitabu/rejea za vitabu vya ujasiliamali katika elimu ya juu
Kwa atakae hitaji nakala laini au ngummu tumia naxfra@gmail.com
Pamoja katika kuelimishana.
1. upatikanaji wa rejea nyigi katika lugha ya kingereza
2. kuwafikia watu hata nje ya Tanzania
3. kutojitoshereza kwa vitabu/rejea za vitabu vya ujasiliamali katika elimu ya juu
Kwa atakae hitaji nakala laini au ngummu tumia naxfra@gmail.com
Pamoja katika kuelimishana.