SHUKRANI!.....thank you JAMIIFORUMS



......he!he!heeeeee...kumbe na we hommie bado? enewei utampa kampani .....h/boi Fidel 2012, though nimesikia anataka aipulu baki tu 2010!.......
!!!
 
......he!he!heeeeee...kumbe na we hommie bado? enewei utampa kampani .....h/boi Fidel 2012, though nimesikia anataka aipulu baki tu 2010!.......
!!!
hommie bana!...(nitaku-piemu,kuna kajidharura hapa ofisini kanataka kutokea...ngoja niconfirm)
 
......he!he!heeeeee...kumbe na we hommie bado? enewei utampa kampani .....h/boi Fidel 2012, though nimesikia anataka aipulu baki tu 2010!.......
!!!

Alafu mm kuna tetesi nimepata ndege niliyekuwa nammendea mapedeshee wameanza kusambaza sumu naweza nimkose hivi hivi any way Tumwibate yupo anachukua nafasi yake.
 
hommie bana!...(nitaku-piemu,kuna kajidharura hapa ofisini kanataka kutokea...ngoja niconfirm)

....heeeeee...mambo ya wakoloni hakiyanani hayo........! anyway ina +ve impact?
 
....heeeeee...mambo ya wakoloni hakiyanani hayo........! anyway ina +ve impact?
ngoja kidogo niconfirm flight yenyewe.hata hivyo hakuna kitakachoharibika mgoyo.nitakupigia bana...!
 
Alafu mm kuna tetesi nimepata ndege niliyekuwa nammendea mapedeshee wameanza kusambaza sumu naweza nimkose hivi hivi any way Tumwibate yupo anachukua nafasi yake.

.....he!he!itakuwa umecheza chini ya kiwango hommie? unanyang'anywa tonge mdomoni?
 
.....he!he!itakuwa umecheza chini ya kiwango hommie? unanyang'anywa tonge mdomoni?

Homu boi mkwanja una nguvu sana ngoja nimsikilizie anahamia Iraq hivi karibuni trip za Iraq zitaongezeka.
 
Homu boi mkwanja una nguvu sana ngoja nimsikilizie anahamia Iraq hivi karibuni trip za Iraq zitaongezeka.

..yaani kwa marehemu Saddam Hussein?.....simple Checki na mshikaji Al Zqawi, wa do ze business fasta akishafika huko...........
!
 
..yaani kwa marehemu Saddam Hussein?.....simple Checki na mshikaji Al Zqawi, wa do ze business fasta akishafika huko...........
!

Hahahaha Ir ya nyanda za juu homu boi hujui ukiwa kule wanaita Iraq hahaha kwenye ulanzi mwingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…