MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Afu wewe ndugu yangu ulianzaga vizuri sana hapa kwenye jamvi. Sijui nani alikubadilisha! Nilijua nimepata mfuasi kumbe ilikuwa nguvu ya soda?
Babu
Katika shauri zooote ulizowahitoa hapa jamvini, hapa kwenye red umeniacha na kenua meno yangu yote 16!! Duh
ipo tayari kakaKagonge senksi basi kule.
Babashka upo? Hujambo lakini? nimekumiso kweli yani.Si unajua najiandaa kuwa mheshimiwa mama mchungaji senior pastor.I hope utaniunga mkono.
Kipi kimekufurahisha hapo kajukuu kangu? Hutaki nikafaudu tena kale kamnyama au hutaki kijana wangu aoe tena inapobidi? Afu nlikuwa sijui kama una meno 16! Hahaha! BTW kitukuu changu hakijambo?
Alianzaga vizuri?
Wakati mwenzio naona siku hizi ndo amekuwa mzuri- najiandaa kupeleka barua ya kumtaka urafiki!!
ipo tayari kaka
Usimuombee aoe tena si ashaoa babu? Tafuta tafuta utaona kina kondoo wengine ambao hawajaoa bado- Uncle Fidel si bado?
Ndio mie mjukuu meno bado hayajakamilika babu. Kitukuu hakijambo vurugu tupu.
Kwa heshima na taadhima,napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru wanajamiiforums wote marafiki,wapwa na mabinamu kwa mema yote na support kubwa mliyonipa katika mchakato wote wa project yangu ya tar 13/02/2010.
pamoja na matatizo makubwa yaliyojitokeza vikiwemo chuki,magomvi na visilani wakati wote wa maandalizi na kuikamilisha project hii ninapenda kuwashukuru zaidi kwa mioyo yenu iliyojaa upendo mkubwa na uvumilivu wa aina yake.Ninaamini nimewakwaza wengi sana,na wengine wameapa kutokurudi jamiiforums...!mimi ni binadamu na si malaika.NAOMBA MNISAMEHE KWA HILO
Nitaomba nitoe shukrani ya pekee kwa zawadi mliyonipa ambayo imegharimu TZSH 744,000.00.AHSANTENI SANA KWA MOYO WENU WA UPENDO.Ukweli unabaki kuwa hiyo ndiyo ilikuwa zawadi pekee kubwa katika harusi yangu.AHSANTENI SANA ,NA TUNAWAPENDA SANA
Nitaomba nitoe shukrani ya pekee kwa michango mliyonitolea kufanikisha kila lililostahili kuipendezesha harusi yangu.jamiiforums imenichangia kiasi cha TSH 1,105,000.00.AHSANTENI SANA!familia ya MR & MRS geoff inawashukuru sana.kwakweli hatuna neno zuri kwa sasa litakalotumika kushukuru zaidi ya AHSANTE
Ninaomba bila kuwakwaza nipewe ruhusa na nitambue pia mchango wa mtu mmoja mmoja KWA KUWATAJA MAJINA.Majina haya hayazingatii kiwango cha mtu alichotoa,NI OUT OF MY FEELINGS
1Sinkala
2Fidel
3Kaizer
4CHrispin
5Nyamayao
6INVISIBLE(NA UONGOZI MZIMA WA JF)
7Next level
8Mwanajamii
9Nguli
10Askofu
11Preta
12Prisca
13Carmel
14Darkcity
15DeNovo
16Pakajimmy
17Triplets
18Firstlady1
19Ziondaughter
20Edson
21JS
22ALL JAMIIFORUMS MEMBERS
I LOVE YOU GUYS!.......
TUNATARAJIA KUTOA MWALIKO ILI MJE KUMLA MBUZI ATAKAYEOKWA KWA HICHI KIFAA MLICHOTUNUNULIA!...stay tuned na muandae matumbo tuππ
CHEERS!
MUNGU IBARIKI JF
Geoff aksante kwa kusema aksante tupo pamoja kaka wala usikonde
Tunamkaribisha sana mshiki wake babu Chrispin ila aingie kwa jina lake la siri wewe usilijue ili ukimboa apate uhuru wa kuleta threads hapa tumpe ushauri.
Mpora:
Username yako iwe siri yako usimwambie Geoff!!
Dah! ZD? Kazi kweli kweli1Sinkala
2Fidel
3Kaizer
4CHrispin
5Nyamayao
6INVISIBLE(NA UONGOZI MZIMA WA JF)
7Next level
8Mwanajamii
9Nguli
10Askofu
11Preta
12Prisca
13Carmel
14Darkcity
15DeNovo
16Pakajimmy
17Triplets
18Firstlady1
19Ziondaughter
20Edson
21JS
22ALL JAMIIFORUMS MEMBERS
I LOVE YOU GUYS!.......
TUNATARAJIA KUTOA MWALIKO ILI MJE KUMLA MBUZI ATAKAYEOKWA KWA HICHI KIFAA MLICHOTUNUNULIA!...stay tuned na muandae matumbo tuππ
CHEERS!
MUNGU IBARIKI JF
halafu nashanga!zeidii hatoi senksi kabisa
Afu wewe ndugu yangu ulianzaga vizuri sana hapa kwenye jamvi. Sijui nani alikubadilisha! Nilijua nimepata mfuasi kumbe ilikuwa nguvu ya soda?
Nidhamu yako safi sana. Ukipita pale Usalule tafadhali nipeperushie salamu zangu kwa Eliza. Afu ntahitaji namba za simu za yule mtu wetu. Kizuri kula na nduguyo. Hahaha!