SHUKRANI!.....thank you JAMIIFORUMS

Homeboy.......... Nipo hapa. Am watching your steps!

Mi nasubiri kibali cha ushemeji,, sasa actually that will work on your favor..akikubali ushemeji si ndo amekukubali homeboy? hebu soma tena afu stuka! hahahahah😀
 
mbuzi hausiani kabisa na majina!just pm mimi dhen nitakupa mwongozo...!na wala usifikirie mchango kwa sasa.michango ilikuwa ni kwa harusi AMBAYO IMESHAKWISHA!(ukinipa mchango sasa unataka nioe tena?😀)

Saa nyingine huwa unaniudhi kweli kweli!
 
Hahahahahaaa,Pilars wadumisha mila Xpin,Kaizer,Geoff! yani i cant you nyie vijana.Ngoja nikawalie tize la baibo,katiba ya nchi na ilani ya chama afu ntakuja tena kuwahubiria.Naona kama nimeingia choo cha kiume vile.
 
Mi nasubiri kibali cha ushemeji,, sasa actually that will work on your favor..akikubali ushemeji si ndo amekukubali homeboy? hebu soma tena afu stuka! hahahahah😀

Unataka kitolewe mara ngapi?
 
Hahahahahaaa,Pilars wadumisha mila Xpin,Kaizer,Geoff! yani i cant you nyie vijana.Ngoja nikawalie tize la baibo,katiba ya nchi na ilani ya chama afu ntakuja tena kuwahubiria.Naona kama nimeingia choo cha kiume vile.

MILA is there to stay.
Ni heri uingie choo cha kiume kuliko mimi kuingia choo cha kike.........!
Katiba ya nchi si ndio ile yenye maviraka kibao?
 
Hahahahahaaa,Pilars wadumisha mila Xpin,Kaizer,Geoff! yani i cant you nyie vijana.Ngoja nikawalie tize la baibo,katiba ya nchi na ilani ya chama afu ntakuja tena kuwahubiria.Naona kama nimeingia choo cha kiume vile.
ukiviunganisha hivyo utakuja na bonge moja la COCKTAIL😀
na kwakweli utajikuta umeingia kwenye mila moja kwa moja
 
Mi nasubiri kibali cha ushemeji,, sasa actually that will work on your favor..akikubali ushemeji si ndo amekukubali homeboy? hebu soma tena afu stuka! hahahahah😀
Kula tano umenena vema.It depends so muuuuuuuch with him(Xpin).
Btw nimekumiss kweli Kaizer.cjui nikutafute kwa Ankali au Kigangoni? afu na wewe nakuogopa kweli cku hizi,naona unakaribia kuchukua taji la kudumisha mila.
 
Kula tano umenena vema.It depends so muuuuuuuch with him(Xpin).
Btw nimekumiss kweli Kaizer.cjui nikutafute kwa Ankali au Kigangoni? afu na wewe nakuogopa kweli cku hizi,naona unakaribia kuchukua taji la kudumisha mila.

asante,, mi nipo kote kote tu! karibu!
 
Kula tano umenena vema.It depends so muuuuuuuch with him(Xpin).
Btw nimekumiss kweli Kaizer.cjui nikutafute kwa Ankali au Kigangoni? afu na wewe nakuogopa kweli cku hizi,naona unakaribia kuchukua taji la kudumisha mila.

Unategemea ntasema no? Hebu ongea vizuri na shemejizo, ala!
 
Hongereza G. hongera sana ila kuna maneno yananitatiza hapa "pamoja na matatizo makubwa yaliyojitokeza vikiwemo chuki,magomvi na visilani"
 
naungana na wazo la baba-askofu kwamba we meet AFTER KWARESMA and all that!
.....so no longer this weekend?

Hongera sana kijana kwa uamuzi mzito uliochukua na sisi tunao jiexpress tutafuata nyao zako 2012 wakuu karibuni sana naomba Lisa unipigie pigie debe kwa huyo mtoto maana mpaka sasa bado sijapata kitu cha kumelemeta nacho 2012.
....daah hakiyanani homu boi huchezi mbali na 18!
huku ndiko michongo ilipolala!utakaa na waifu 24/7 mtakula nini?mtakula I LOVE YOU?
.....daaa homu boi naona within one week merieji imekupa mafanikio.....unanena kwa lugha kweli......! nimekupiga ya Ki-Sinkala i.e. Thanks, 2day,2morrow, next yr and forever!

Kijana hapo ndipo unaponifurahisha. Wafanyakazi TBL/SBL watapataje mishahara?
Je kina Eliza keep change watazipataje?
Nani atadumisha mila na kina Eliza kama tutakaa nyumbani 24/7?

....daah mijitu ikienda vacation ikirudi inakuja na mipwenti acha kabisa......ngoja na mi nijibrekishe kidogo.....!


ENDELEA NAE TU!wanaume bana MAMA YAO NI MMOJA!-wote ni wale wale
....hakiyanani homu boi umeshukiwa na roho mtakafuti....aiseeee! kila sentensi ni pwenti tupu aiseeee...
!
 
HEHEHEHE!nitakupigia wewe....!hata hivyo wikiendi ukuje tu
 
Hongereza G. hongera sana ila kuna maneno yananitatiza hapa "pamoja na matatizo makubwa yaliyojitokeza vikiwemo chuki,magomvi na visilani"
hehehe!we acha tu ndugu yangu...!nitaku-piemu nikuelezee.matatizo yalikuwepo kwa wingi sana
 
.....Haya bana....nakuja Ijumaa jioni, kama kawa...break, Chawote kwanza.....!
usimissi bana n'kubwa!kuna mengi zaidi ni bora tukayajadili COLLECTIVELLY!-mimi na wewe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…