Mkuu,
14Darkcity
15DeNovo
16Pakajimmy
17Triplets
18Firstlady1
I LOVE YOU GUYS!.......
TUNATARAJIA KUTOA MWALIKO ILI MJE KUMLA MBUZI ATAKAYEOKWA KWA HICHI KIFAA MLICHOTUNUNULIA!...stay tuned na muandae matumbo tuππ
Mkuu,
Kipisi changu cha huyo Mbuzi najua kitakuwepo intact!
Agizia kwenye SAIBABA ya KARATU, wataniangushia hapa MTO-WA-MBU wanapopita!.
Kwa hiyo mwaliko wa mchango ulikuwa ni siri? mbona wengine hatukujulishwa?
Kwa hiyo mwaliko wa mchango ulikuwa ni siri? mbona wengine hatukujulishwa?
dah!we ndugu....
PJ naomba na mie utanitunzia kipisi changu nitakuwa kwenye ziara ya zinduka vijijini
hahaha FL1 umenifanya nivunjike mbavu apa lol mi naomba nikile kwa niaba yako
Mkuu Kaizer,hahaha FL1 umenifanya nivunjike mbavu apa lol mi naomba nikile kwa niaba yako
Nitunzieni na mie Kaizer kwani mie ndo sitaki mkia
usimissi bana n'kubwa!kuna mengi zaidi ni bora tukayajadili COLLECTIVELLY!-mimi na wewe tu
No piresha mgoyo.......!
Hili neno nakumbuka nililisikia pale USALULE guest house. Nikipata nauli ntarudi pale.
Mkuu Kaizer,
Nadhani alipomchagua PJ amtunzie, alikuwa anamaanisha!
The way i know FL1, she does not attempt mistakes this bold lady!
Nitakutunzia FL1, kAIZER will not touch a bit of it!..huh!.
kuna linalo kurudisha........
kuna linalo kurudisha........
dah, kiongozi
salute hapo wala hagusi mtu..nitaconcentrate na kipande changu tuπ
Nitunzieni na mie Kaizer kwani mie ndo sitaki mkia wa ng'ombe ,
Leo bahati mbaya nimesahau ile mawani yangu! LOL!
okay its better umeisahau aisee...π