SHUKRANI!.....thank you JAMIIFORUMS

Kwa hiyo mwaliko wa mchango ulikuwa ni siri? mbona wengine hatukujulishwa?
 

14Darkcity
15DeNovo
16Pakajimmy
17Triplets
18Firstlady1

I LOVE YOU GUYS!.......
TUNATARAJIA KUTOA MWALIKO ILI MJE KUMLA MBUZI ATAKAYEOKWA KWA HICHI KIFAA MLICHOTUNUNULIA!...stay tuned na muandae matumbo tuπŸ˜€πŸ˜€
Mkuu,

Kipisi changu cha huyo Mbuzi najua kitakuwepo intact!
Agizia kwenye SAIBABA ya KARATU, wataniangushia hapa MTO-WA-MBU wanapopita!.
 
Mkuu,

Kipisi changu cha huyo Mbuzi najua kitakuwepo intact!
Agizia kwenye SAIBABA ya KARATU, wataniangushia hapa MTO-WA-MBU wanapopita!.

PJ naomba na mie utanitunzia kipisi changu nitakuwa kwenye ziara ya zinduka vijijini
 
Geoff umefanya vema kurudi kwetu na kutushukuru nasi tumeona ni jinsi gani ulivyo thamini kile kilichotoka kwetu
Ubarikiwe na bwana
 
Kwa hiyo mwaliko wa mchango ulikuwa ni siri? mbona wengine hatukujulishwa?

mkuu wewe tu kukututembele kwenye hili jukwaa labda....thread za kuhusu shughuli hii zilikuwepo za kutosha

dah!we ndugu....

usijali hata taarifa za msiba huwapita wengine ni kawaida tu Goeff!!!
 
hahaha FL1 umenifanya nivunjike mbavu apa lol mi naomba nikile kwa niaba yako
Mkuu Kaizer,

Nadhani alipomchagua PJ amtunzie, alikuwa anamaanisha!
The way i know FL1, she does not attempt mistakes this bold lady!

Nitakutunzia FL1, kAIZER will not touch a bit of it!..huh!.
 
Mkuu Kaizer,

Nadhani alipomchagua PJ amtunzie, alikuwa anamaanisha!
The way i know FL1, she does not attempt mistakes this bold lady!

Nitakutunzia FL1, kAIZER will not touch a bit of it!..huh!.

dah, kiongozi

salute hapo wala hagusi mtu..nitaconcentrate na kipande changu tuπŸ˜€
 
dah, kiongozi

salute hapo wala hagusi mtu..nitaconcentrate na kipande changu tuπŸ˜€

Homeboy kuna fumbo lolote kwenye hiyo red? Nimesahau miwani yangu leo.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…