Shukrani za dhati kwa Airtel Yatoshaaaaa....!! Naomba mrudie tena

Al-shabaab

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
1,791
Reaction score
619
Wana jf kwangu binafsi naishukuru sana kampuni ya Airtel kwa kunifanya nikajua selection yangu mapema
maoni yangu ni kuwa hata kwenye mkopo wa HESLB Wafanye kama walivyofanya kwenye selection.!
nini maoni yako juu ya hili...!!
nawasilisha
 
itakuwa poa saana warudie tena ili tujipange mapema
 
kwel kabsa na mambo ya heslb wavujishe ivo ivo kama walivofanya ya tcu.airtel yatoshaaaaaa
 
Hata mimi nawashukuru sana kwa kitendo walichofanya huku nikimlaani anayejiita MOLEMBE humu ndan
 
Ha ka twi mtu hapa sasa ni bukheee tuma pesa kwa sheriii oh sherii
 
Hakatwi mtu hapa...wanajisumbua sana, nani anasumbuka na Airtel money, watu vichwa vyao vimeshazoea Mpesa Airtel waachane tu na hii biashara hawawezi kuiondoa Mpesa na wanaharibu tu pesa zao kwa matangazo.chezea Mpesa weye.
 
hahahahaaaa!!.. naona mna advertise biashara za watu! mnalipwa lakini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…