Shukurani Kutoka kwa Mtambuzi kwa wana Jamii Forum.

opssssssss! pole mkuu kwa madhila yalokufika. Aisee ningejua hilo ningekuja kukuona wakati nipo kwa hilo jiji la karaha na ufedhuli!
 
Pole sana kiongozi,naamini operesheni imekwenda vizuri,nakuombea upone haraka uendelee na mihangaiko yetu ya kila siku ya kuhemea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…