Naona umewahi kufika[emoji1]Utunze mtt wa mwanaume mwenzio sasa.
My loveNaona umewahi kufika[emoji1]
Abee babyMy love
Umepotea snAbee baby
SijakuelewaHabari za masiku wakuu wa jamvi.hapo kipind cha nyuma nilipost Uzi wa kutaka mwenza ambae ni single mother japo ulifutwa Mara mbili.
Hakika kila jambo lenye kheri na lenye tija linamafanikio ndani yake.na asieshukuru katika hayo atakuwa ni mkosefu.
Namshukuru mungu amenipa njia na mwangaza katika hilo nashukuru wote walio niombea katika hilo.siwez kusema ni nani au yupi ila namshukuru mungu kwa kunipa na nimekipokea.
Kuna siku kila mtu atafrah na itakuwa sehemu ya furaha kwa wana jf wote.
ASANTENI SANA NDUGU JAMAAA NA MARAFIKI WOTE.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah!!Utunze mtt wa mwanaume mwenzio sasa.
Nipo laaziz,si unajua ile kauli mbiu yetu ya hapa kazi tu ndo inanipoteza.Umepotea sn
Hehehehe hiyo ni zaidi ya kazi sasaNipo laaziz,si unajua ile kauli mbiu yetu ya hapa kazi tu ndo inanipoteza.
We nicheke tu,mwenzio bado kidogo kiwanda changu kikamilike[emoji23]Hehehehe hiyo ni zaidi ya kazi sasa
Hicho kiwanda basi kinatengeneza mabomu kbsWe nicheke tu,mwenzio bado kidogo kiwanda changu kikamilike[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] atomic bombs,nitakuita uje kukizindua.Hicho kiwanda basi kinatengeneza mabomu kbs
Mm napenda kuzindua viwanfa vya food processing[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] atomic bombs,nitakuita uje kukizindua.
Au kiwanda cha bia e?Mm napenda kuzindua viwanfa vya food processing