Eti anajitetea kwa matokeo kuwa mabaya kwa kusema" Mh.spika si shule na serikali pekee zilizofanya vibaya hata za watu binafsi zimefanya vibaya sana" kwahiyo huyu Mdharaulika anataka kutuambia kuwa hiyo ndiyo sababu inayomfanya asijiudhuru?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.