Shukuru nae!!

mdeki

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
3,299
Reaction score
475
Eti anajitetea kwa matokeo kuwa mabaya kwa kusema" Mh.spika si shule na serikali pekee zilizofanya vibaya hata za watu binafsi zimefanya vibaya sana" kwahiyo huyu Mdharaulika anataka kutuambia kuwa hiyo ndiyo sababu inayomfanya asijiudhuru?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…