mdeki JF-Expert Member Joined Mar 28, 2011 Posts 3,299 Reaction score 475 Jun 9, 2013 #1 Eti anajitetea kwa matokeo kuwa mabaya kwa kusema" Mh.spika si shule na serikali pekee zilizofanya vibaya hata za watu binafsi zimefanya vibaya sana" kwahiyo huyu Mdharaulika anataka kutuambia kuwa hiyo ndiyo sababu inayomfanya asijiudhuru?
Eti anajitetea kwa matokeo kuwa mabaya kwa kusema" Mh.spika si shule na serikali pekee zilizofanya vibaya hata za watu binafsi zimefanya vibaya sana" kwahiyo huyu Mdharaulika anataka kutuambia kuwa hiyo ndiyo sababu inayomfanya asijiudhuru?