habari zenu wadau. Eti kati ya shule ya serikali kama mzumbe au kibaha na shule ya binafsi kama maua seminary au nyegezi seminary kwa wanaozifahamu bora kwenda wapi.... serikalini ama shile binafsi.....
Kama hujiamini sana kichwani nenda Feza au hata hiyo Nyegezi sem, kwani kilicho maalum kwenye shule za vipaji maalum ni wanafunzi wenyewe na si vinginevyo.
Kama hujiamini sana kichwani nenda Feza au hata hiyo Nyegezi sem, kwani kilicho maalum kwenye shule za vipaji maalum ni wanafunzi wenyewe na si vinginevyo.