Shule gani nzuri naweza mpeleka huyu mtoto?

AjeyTz

New Member
Joined
Aug 11, 2018
Posts
2
Reaction score
0
Jamani, niko na mdogo wangu wa kiume anasoma Olimpio hapa Upanga yuko darasa la 4 kuna kibarua nilikuwa najishikiza sas mkataba umeisha na anatakiwa aende shule na kule imekuwa mbali kwaiyo nikilipa ada lazima nilipe na pesa ya usafiri naishi mbagara sas nahitaj kumuhamisha swali ni shule gani nzuri nawez mpeleka yenye ada rahisi na wanafundisha vizuri isio zid laki 6 kwa mwaka
 
aah mbona rahisi tyu
Lupembe secondary school 🚶
 

Ada laki sita [emoji15][emoji15]kuna shule ya ada ndogo ivyo? Duu!
 
Mpeleke mbagala kuu primary school,hakuna ada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…