Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
walimu wote waliopitia JKT walikuwa wanagawa dozi hasahasa
walimu wote waliopitia JKT walikuwa wanagawa dozi hasahasa
Naura primary school pale arusha mjini..walimu wanachapia sifa.
Sijwahi chapwa
Kuna mmoja huyo ilikuwa unaingiza kichwa chini ya kiti au meza,ukipigwa fimbo lazima uinuke na kiti.