Sijaelewa... naomba unielewesheumejikusanya na umejichanga weeeeee ukapata 800,000/=
umeenda shule, umelipia ada yote ya mwaka tsh 800,000/= kwa ajili ya mwanao, ila ile umetoka tu ofisini roho inakwambia angalia michoro ukutani unakutana na hii picha ,
je utachukua uamuzi gani ?!!
Hahaha angalia picha, angalia jina la huyo mnyama, utaelewaSijaelewa... naomba unieleweshe