Wakuu, natafuta shule ya sekondari kwa mtoto wa kike, ambayo wanafunza maadili mema na kusaidia kurekebisha tabia. Naomba msaada kwa mwenye kujua shule za namna kama zipo Tanzania. Imekuwa changamoto kumwadhibu mtoto, inaweza kuleta balaa, hivyo naamini kuna watu wenye taaluma hizo. Angalizo, shule hizo zisiwe zile za kupeleka watoto waliofungwa na mahakama. Natafuta, shule wenye uzoefu wa kurekebisha tabia na kuwapa maadili mema.
Tafadhali nawalisha.
Tafadhali nawalisha.